View attachment 2116963
Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake
Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
Mezani watakunywa urojo kabla ya hotuba
Kwa Tshs ngapi?Wapemba wameuzwa!
Hao ni Wachumia tumbo..Muhimu wawe waaminifu na wachapakazi
OkDun ana uwezo mdogo sana wa kujenga hoja na hajui Siasa..
Vilaza hawa, wamekosea hata kujipanga! Katibu mkuu alipaswa kuwa pembeni mwa Mwenyekiti.View attachment 2116963
Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake
Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
Huoni apo wamejipanga sare za wazanzibari na huko kwenuVilaza hawa, wamekosea hata kujipanga! Katibu mkuu alipaswa kuwa pembeni mwa Mwenyekiti.
Masikini Jusa na HamadView attachment 2116963
Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake
Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
Onyesheni mapokezi tuyaone, Zanzibar sio mafala tenaView attachment 2116963
Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake
Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
Hapa tayari umeshapanic eh 🤣Lissu kamuuza nani vile? Mbowe.! au hajamuuza.!? basi samaani