Pemba: Mwenyekiti mpya ACT Wazalendo apokewa rasmi leo

5525

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
5,412
6,273
E7CA3F7D-FDD1-4154-9670-7CB8EDD06496.jpeg

Ndio habari ya mjini kwa sasa mrithi wa gwiji la siasa za Tanzania Maalim Seif Sharif Hamad sasa ni Juma Duni Haji ambaye anavaa rasmi viatu vyake

Wanampokea kule kisiwani Pemba na uongozi wa juu kabisa Ndugu Zitto Kabwe
 
Lissu kamuuza nani vile? Mbowe.! au hajamuuza.!? basi samaani
 
Back
Top Bottom