Nyinyi mnaokoment humu mnajifanya hamlijui lile bango la ccm pale kisonge znz .kila siku ya mungu linaandika habari za utengano na kuwatusi wapemba na kwaita machotara warudi kwao .hata baada ya muafaka na kuwa na serekali ya pamoja hayo mabango yaliendelea kubagua na hakuna kiongozi yeyote wa ccm aliyekemea .mbajifanya hamjui kwamba ccm ndio chanzo mnalaumu cuf tu .niafazali huko znz wazungu wajerumani walijengeana ukuta ili wabaguane kama huna vyombo vya dola kuna njia mbadala za kuinyesha hisia zako