Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,003
- 72,296
Msitumie pedi dada zangu zinaua kizazi, ukitaka kuamin imwagie maji pale katikati ,ikijaa iache kama dakika 2 utakuta ni barafu, ndio maana hamuish kuumwa tumbo na baadae kuwa matasa, tumien pamba ,pedi zina madhara meng, mpenzi wangu nimempiga marufuku, kila muda wa hedhi ilikuwa lazima apate shida hadi kizazi,
umesema kweli kabisaaaa,ndio maana sasa magonjwa ya uzazi hayaishii,haya mapedi yanatuua vizazi