The mountain lion
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 1,153
- 418
Hii hapa ni nzuri sana hizi pads.
My baby anazipenda sana hizi. Na huwa namnunulia.
Hii hapa ni nzuri sana hizi pads.
My baby anazipenda sana hizi. Na huwa namnunulia.
Ngoja niitafute hii
Manaake hizi nyingine zinanizingua
zinachubua PAPUCHI au zinavujisha?
Hello chicas/wadada,
Naomba mnisaidie hii information tafadhali.
1. Kuna aina ngapi za pedi zinauzwa na kutumikaTanzania, mimi naifahamu brand ya 'always' tu.
2. Ukinitajia hizo pedi naomba uniambie zinatengenezwa wapi, Tanzania ama nje ya nchi? na kampuni gani?
3. Pia bei ya hizo pedi kwa kila paketi moja ni Tshs. ngapi?
Kama kuna wakaka wanafahamu pia, msisite kuchangia hii mada.
Nawatakia wikend murua
Belinda
Hello chicas/wadada,
Naomba mnisaidie hii information tafadhali.
1. Kuna aina ngapi za pedi zinauzwa na kutumikaTanzania, mimi naifahamu brand ya 'always' tu.
2. Ukinitajia hizo pedi naomba uniambie zinatengenezwa wapi, Tanzania ama nje ya nchi? na kampuni gani?
3. Pia bei ya hizo pedi kwa kila paketi moja ni Tshs. ngapi?
Kama kuna wakaka wanafahamu pia, msisite kuchangia hii mada.
Nawatakia wikend murua
Belinda
😂Nop bhana mwambie aulize how ubaridi unavuta kizaziDuhhhh pole sana mami siyo ww peke yako kuna rafiki yangu aliacha kabisa kuzitumia hizi hc pads coz aliambiwa kuwa ule ubaridi unakuwa unavuta kizazi!!!! Lkn kwangu mie am really ok kabisa sijui coz kila mtu na mtazamo wake!!
Uzi wa 2015 unaufufua Leo tunaingia 2020 😂 ulikuwa unatafuta nn?😂Nop bhana mwambie aulize how ubaridi unavuta kizazi