Pedi za wanawake wakati wa hedhi

Pedi za wanawake wakati wa hedhi

mnhh!!mimi ule ubaridi nauogopa sana,nahisi ni kama imechanganywa na Mint ya kwenye Colgate hivi,nilitumia siku moja tu mpaka leo naiogopa.



Duhhhh pole sana mami siyo ww peke yako kuna rafiki yangu aliacha kabisa kuzitumia hizi hc pads coz aliambiwa kuwa ule ubaridi unakuwa unavuta kizazi!!!! Lkn kwangu mie am really ok kabisa sijui coz kila mtu na mtazamo wake!!
 
Kwa jinsi zinavyoelezewa inaonekana wengine wanatumia sana kila mwisho wa wiki wanakuwa katika hedhi.Du poleni sana ladies
 
Duhhhh pole sana mami siyo ww peke yako kuna rafiki yangu aliacha kabisa kuzitumia hizi hc pads coz aliambiwa kuwa ule ubaridi unakuwa unavuta kizazi!!!! Lkn kwangu mie am really ok kabisa sijui coz kila mtu na mtazamo wake!!

Kweli,maana naziheshimu sana hizo Pads!
 
Kuna nyingine zimeandikwa kichina zipo piece 30 zinauzwa 4000
 
Weka vipande vya kanga wewe au shindilia tissue kuokoa hela
 
Mimi nilikuwa natumia hzo HC nimeamua kuziacha kwa kweli huwa zinavuta nikivaa na tumbo huuma zaidi kwangu mimi hazipo vizuri siku hizi natumia always nadhan tunatofautiana ila hata marafiki zangu wawili walinishuhudia kuwa hata kwao zimekuwa zinavuta
 
Mimi nilikuwa natumia hzo HC nimeamua kuziacha kwa kweli huwa zinavuta nikivaa na tumbo huuma zaidi kwangu mimi hazipo vizuri siku hizi natumia always nadhan tunatofautiana ila hata marafiki zangu wawili walinishuhudia kuwa hata kwao zimekuwa zinavuta

Mi naziona nzuri aisee hasa ule ubaridi hadi maumivu ya tumbo huisha kabisa. Tofauti na hizo nyingine. Ila watu wametofautiana.
 
siyo kwamba hatupendani. Tatizo maelezo hayajitoshelezi, lakini kikubwa zaidi ni kuwa wengi wetu humu nikiwemo mimi tulishafikia ukomo wa hedhi (menopause) siku nyingi kwa hiyo si rahisi kujua aina za pedi. Mie najua pamba na hiyo hiyo always anayoijua.


eeeee sie wengine bado Sanaa kufikua menopuse
 
pedi nzuri ni glory pads zinauzwa elf5 kwa pakiti ya vipande kumi

Yaani siwezi nunua tena hiyo glory na lugha nzuri ya bamboo charcoal etc. Yaani ni unabadili every hour la inakuumbua. Nilipenda packaging na the fact kuwa ni TZ product but I ended up going back to always
 
BelindaJacob

Zipo za kutumia kisha unafua unanika then unatumia tena,unafanya hivo mara 3 kisha unatupa.
 
Last edited by a moderator:
nimekusoma mwanangu mi nataka nianze kutumia zile pamba ,pedi zinatudhuru basi Tu hatujuii,yaan badala watutengezee pedi nzuri wanaachia Tu pedi nyingi nyingi

Hafu pamba ndo nzuri hazina madhara kabisa tena unakua fresh hizi zenye chemicals zina madhara. Niliwahi kutumia pamba kipindi flani nzuri mno.
 
Msitumie pedi dada zangu zinaua kizazi, ukitaka kuamin imwagie maji pale katikati ,ikijaa iache kama dakika 2 utakuta ni barafu, ndio maana hamuish kuumwa tumbo na baadae kuwa matasa, tumien pamba ,pedi zina madhara meng, mpenzi wangu nimempiga marufuku, kila muda wa hedhi ilikuwa lazima apate shida hadi kizazi,
 
Hafu pamba ndo nzuri hazina madhara kabisa tena unakua fresh hizi zenye chemicals zina madhara. Niliwahi kutumia pamba kipindi flani nzuri mno.


yap mim sasa pedi mafuruku ,zimenichoshaaaaa,zinaniwashaga halaf ,bora nianze na pamba tu
 
Back
Top Bottom