rosebud
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 243
- 97
Mimi sio "mkuu". mimi ni "babu" yenu.
Sawa babu
Mimi sio "mkuu". mimi ni "babu" yenu.
Mmmh siku hizi kuna pedi nyingi...
Always
Hq
Angel
Freestyle
Kortex..niliziona mara moja tu mjini
Nk nknk
Diva ni HC (HUMAN CHERISH) sio hq
mbadala wa pedi ni mimba tu!
Hii hapa ni nzuri sana hizi pads.
Ni nzuri sana aiseehh unasikia harufu ya aerobic tu and not ile harufu kudadeki!!
Hizi ni kiboko aisee hafu zina ubarid flani ka ac flan hivi amazing. Hafu zinapunguza hadi maumivu ya tumbo unnecessary muwasho. Hafu unakua free sana.
Kabisa yaani unakuwa free haina kujistukia mara kwa mara nikivaa hc huwa najiamini saaaaaannnaa tuuuu!!!!
Mi huisomi baada ya h ni q ati my favourite pads.
Mimi naomba kitu kimoja tu,DHUMUNI la kuuliza hivi tafadhali nisaidie mwanamama mwenzio
Hizi ni kiboko aisee hafu zina ubarid flani ka ac flan hivi amazing. Hafu zinapunguza hadi maumivu ya tumbo unnecessary muwasho. Hafu unakua free sana.
Hahahaaaaa!!! Hivi hazina madhara kweli, maana tusiwe tunafurahia tu ule ubaridi na kaharufu kazuri kumbe ni tatizo
Kila kitu kina madhara ila naona hizi zinaunafuu wake tofauti na zile nyingine. Mana zinaruhusu ule ubaridi na kupunguza joto kwahyo hata fungus inakua ngumu. Mi naona ni best tofauti na nyingine.
Hello chicas/wadada,
Naomba mnisaidie hii information tafadhali.
1. Kuna aina ngapi za pedi zinauzwa na kutumikaTanzania, mimi naifahamu brand ya 'always' tu.
2. Ukinitajia hizo pedi naomba uniambie zinatengenezwa wapi, Tanzania ama nje ya nchi? na kampuni gani?
3. Pia bei ya hizo pedi kwa kila paketi moja ni Tshs. ngapi?
Kama kuna wakaka wanafahamu pia, msisite kuchangia hii mada.
Nawatakia wikend murua
Belinda
Kabisa yaani unakuwa free haina kujistukia mara kwa mara nikivaa hc huwa najiamini saaaaaannnaa tuuuu!!!!
Daaaa! nimegudua humu JF kuna wanawake wahache sana au hampendani. Mwenzenu Belinda Jacob kauliza swali la muhimu sana tangu jana saa 9.59 alasiri lakini mpaka muda huu kuna wanawake wachaheche sana ie 4 tu ndiyo waliomjibu/msaidia,Why? Lala1 and company uko wapi?