BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,079
Hello chicas/wadada,
Naomba mnisaidie hii information tafadhali.
1. Kuna aina ngapi za pedi zinauzwa na kutumikaTanzania, mimi naifahamu brand ya 'always' tu.
2. Ukinitajia hizo pedi naomba uniambie zinatengenezwa wapi, Tanzania ama nje ya nchi? na kampuni gani?
3. Pia bei ya hizo pedi kwa kila paketi moja ni Tshs. ngapi?
Kama kuna wakaka wanafahamu pia, msisite kuchangia hii mada.
Nawatakia wikend murua
Belinda
Naomba mnisaidie hii information tafadhali.
1. Kuna aina ngapi za pedi zinauzwa na kutumikaTanzania, mimi naifahamu brand ya 'always' tu.
2. Ukinitajia hizo pedi naomba uniambie zinatengenezwa wapi, Tanzania ama nje ya nchi? na kampuni gani?
3. Pia bei ya hizo pedi kwa kila paketi moja ni Tshs. ngapi?
Kama kuna wakaka wanafahamu pia, msisite kuchangia hii mada.
Nawatakia wikend murua
Belinda