Pedi za kufua

Pedi za kufua

kwani HQ bei gani mpaka uanze kufua hayo makitu..
 
Hii kitu inipitie pembeni yaani ukitumia hizi pasipo usafi wa kutosha,kuna hatari ya kupata fungus sugu.mhh
 
...Habari wamama na wadada nauza pedi nzuri sana ...

Kwa sisi Wachagga kabla ya kumpatia mtu pombe lazima lyambe! Nadhani si sahihi wewe kutamka kuwa ni nzuri. Nadhani unatakiwa kuwa na marketing strategy kwa vitu kama hivi ambavyo ni vya siri
 
Mie wasi wasi wangu mkubwa ni namna ya kuishikanisha na chupi ili isi'move' wakati wa kutembea,je inagundi kwa chini au ndio hivyo vifungo?maana sielewi ati!
 
Kwa Wanawake wa mjini kama Dada zangu akina Nifah na miss chagga kwa jinsi walivyo Masista duu na wanavyoona Kinyaa sidhani kama hizi watathubutu kuzitumia. Na si hawa tu bali hakuna Demu wa Kimjini mjini atakayezitumia. Yaani wazitumie halafu wazifue zikauke na wazitumie tena? Vijijini soko lao litakuwa zuri ila siyo huku down Town.
Ukizingatia vidoleni wamejibandika kucha ndeeefu ambazo haziruhusu kufua
 
Nadhani wewe ni mzaliwa wa mjini na pia mzaliwa wa miaka ya hivi karibuni.

Wanawake waliovunja ungo miaka ya 80 kurudi nyuma na haswa kule kwetu ndani ndani nadhan wana majibu ya maswali mengi uliyouliza
Mpaka umejibu hivi nadhani unaweza ukanipa experience walikuwa wanahifadhi VP?.....kwa nijuavyo mm miaka hy maendeleo haswa kwa wanawake yalikuwa bado wengi walikuwa wamama wa nyumbani so kwao haikuwa chang'amoto kwani muda wote yupo nyumbani anaoga na kufuaa vitambaa muda wwt akijiskia, pili kwa wale wanawake wachache waliofanikiwa kuendelea kimasomo na kimaisha walikuwa na uwezo wa kununua pedi kwa sababu wengi walipata nafac kusoma nje za nchi so walijifunza wazungu wanajistiri nn na wale waliosoma hapa Tz mfano lecture wangu alisoma ISW wakati wa kipindi alikuwa anatuambia enzi zao wanasoma chuo walikuwa wanapewa nahitaji karibia yote na chuo mfano chakula na malazi ni buree pili walikuwa wanalipwa pesa kiasi so still walikuwa na uwezo wa kununua vitu vidogo kama pedi
 
Pad haina shida utunzaji wake wale wa kitambaa huwa akimaliza hukitupa sasa uje ufue no. ila kiukweli ile kuifua hapana aisee... ninazo na sidhani kama nitakaa nizitumie aisee
 
Mie wasi wasi wangu mkubwa ni namna ya kuishikanisha na chupi ili isi'move' wakati wa kutembea,je inagundi kwa chini au ndio hivyo vifungo?maana sielewi ati!
Ina vifungo kama vinavoonekana..so ukishaifunga hai move.
 
Jamani mm kama ni ushamba acha niwe mshamba tu,sasa hizo za kudumbukiza k haitotanuka kweli? maana ikijaa bleed inaumuka inakuwa kubwaa, sasa kila mwez ukichomeka kwa cku 5 unaweka hy kitu hauwezi kupata mtera kweli???
Mbona size za mboo unabadili kila siku na huwi mtera?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom