Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,378
- 176,229
Ninampango wa kutafuta pichu disposable kwaajili ya safari za mwezini sasa haya ya kufua pedi yanatoka wapi Tena?
Tusiopenda kufua kwakweli huku ni kuongezeana kazi.
Ninampango wa kutafuta pichu disposable kwaajili ya safari za mwezini sasa haya ya kufua pedi yanatoka wapi Tena?
Kama lengo ni kuwa friend of the earth, I'm opting out.![]()
![]()
![]()
![]()
Tusiopenda kufua kwakweli huku ni kuongezeana kazi.
...Habari wamama na wadada nauza pedi nzuri sana ...
Hii ni biashara nzuri maana unaweza ibuka na small washing machine zinazotumia mwanga wa jua watu wakawa wanatumia kuzifua.hapana kwa kweli .utaosha na maji ndoo ngapi kwanza?
kwenye kufuaAcha uoga.
Ukitumia unafua
Unaanika uhani.
Ukizingatia vidoleni wamejibandika kucha ndeeefu ambazo haziruhusu kufuaKwa Wanawake wa mjini kama Dada zangu akina Nifah na miss chagga kwa jinsi walivyo Masista duu na wanavyoona Kinyaa sidhani kama hizi watathubutu kuzitumia. Na si hawa tu bali hakuna Demu wa Kimjini mjini atakayezitumia. Yaani wazitumie halafu wazifue zikauke na wazitumie tena? Vijijini soko lao litakuwa zuri ila siyo huku down Town.
Mpaka umejibu hivi nadhani unaweza ukanipa experience walikuwa wanahifadhi VP?.....kwa nijuavyo mm miaka hy maendeleo haswa kwa wanawake yalikuwa bado wengi walikuwa wamama wa nyumbani so kwao haikuwa chang'amoto kwani muda wote yupo nyumbani anaoga na kufuaa vitambaa muda wwt akijiskia, pili kwa wale wanawake wachache waliofanikiwa kuendelea kimasomo na kimaisha walikuwa na uwezo wa kununua pedi kwa sababu wengi walipata nafac kusoma nje za nchi so walijifunza wazungu wanajistiri nn na wale waliosoma hapa Tz mfano lecture wangu alisoma ISW wakati wa kipindi alikuwa anatuambia enzi zao wanasoma chuo walikuwa wanapewa nahitaji karibia yote na chuo mfano chakula na malazi ni buree pili walikuwa wanalipwa pesa kiasi so still walikuwa na uwezo wa kununua vitu vidogo kama pediNadhani wewe ni mzaliwa wa mjini na pia mzaliwa wa miaka ya hivi karibuni.
Wanawake waliovunja ungo miaka ya 80 kurudi nyuma na haswa kule kwetu ndani ndani nadhan wana majibu ya maswali mengi uliyouliza
Kwanza pa kuzianika mtu kama mimi ninaishi kwenye chumba kimojaPad haina shida utanzaji wake wale wa kitambaa huwa akimaliza hukitupa sasa uje ufue no
Ina vifungo kama vinavoonekana..so ukishaifunga hai move.Mie wasi wasi wangu mkubwa ni namna ya kuishikanisha na chupi ili isi'move' wakati wa kutembea,je inagundi kwa chini au ndio hivyo vifungo?maana sielewi ati!
lKwanza pa kuzianika mtu kama mimi ninaishi kwenye chumba kimoja
Mbona size za mboo unabadili kila siku na huwi mtera?Jamani mm kama ni ushamba acha niwe mshamba tu,sasa hizo za kudumbukiza k haitotanuka kweli? maana ikijaa bleed inaumuka inakuwa kubwaa, sasa kila mwez ukichomeka kwa cku 5 unaweka hy kitu hauwezi kupata mtera kweli???
SawaMNAOZIKATAA MNAONEKANA NI WACHAFU
Ukiambiwa u prove unachosema utaweza????? Sometimes inabidi mtu utumie akili na co jazba.Mbona size za **** unabadili kila siku na huwi mtera?
OkeySawa