GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
Pole honey kama nime kukwanza, sikudhamiria vibaya. PLEASE!!!Ukiambiwa u prove unachosema utaweza????? Sometimes inabidi mtu utumie akili na co jazba.
Pole honey kama nime kukwanza, sikudhamiria vibaya. PLEASE!!!Ukiambiwa u prove unachosema utaweza????? Sometimes inabidi mtu utumie akili na co jazba.
Apologise acceptedPole honey kama nime kukwanza, sikudhamiria vibaya. PLEASE!!!
Hizi ni nzuri sanawadada wanao tumia hizi za kudumbukiza ukiwapa hizo si hawatajua ni za kazi gani?
![]()
Ha haaa sipendi kufua jamani loh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tusiopenda kufua kwakweli huku ni kuongezeana kazi.
PoleHa haaa sipendi kufua jamani loh
Thanks honeyApologise accepted
Ha ha ha ha. My dear,hizi si nzuri Kama unavyodhani..Hizi ni nzuri sana
Hizi si nzuri kabisaa. Sikushauri utumie wala kujaribisha...Jamani mm kama ni ushamba acha niwe mshamba tu,sasa hizo za kudumbukiza k haitotanuka kweli? maana ikijaa bleed inaumuka inakuwa kubwaa, sasa kila mwez ukichomeka kwa cku 5 unaweka hy kitu hauwezi kupata mtera kweli???
BESTITO HUYO NI MWANAMUME HAJUI MAMBO YA KIKE YY ANAFANYA BIASHARA TUnadhani wewe ni mwanaume .kuna mambo huyajui niachie tu hapo .
Hivi kwa wastani una chupi ngapi miss?ila kuna dada nitampa namba yako atachukua
tatuHivi kwa wastani una chupi ngapi miss?
BESTITO YAANI UMESEMA MWAYA HATA MM SIZIPENDI HIZI MAMBO YA FUNGUS YA NINIHii kitu inipitie pembeni yaani ukitumia hizi pasipo usafi wa kutosha,kuna hatari ya kupata fungus sugu.mhh
KWANINI UMEAMUA KUMUULIZA HILI SWALI HAHAAAAAHivi kwa wastani una chupi ngapi miss?
ni mtihani kwa kweli .adhabu tosha .mmh, ile midamu inavyotia kinyaa, hilo pedi la kutupa tu ukilitoa hutaki hata kuliangali, ndo ije swala la kufua, means ushike ile midamu tena kwa siku 5, Big No kwa kweli. Mbaya zaidi ina maana ukiwa kazini au shule au kwenye biashara means ukibadilisha (mana kubadilisha pedi ni lazma sio hiari) ulifunge kwenye mfuko, ukifika nyumbani una kazi ya kufua pedi 2 au 3 khaaa, naweza shindwa kula siku zote 5
kweli kabisa acha auze tu .BESTITO HUYO NI MWANAMUME HAJUI MAMBO YA KIKE YY ANAFANYA BIASHARA TU
Sio kwaajili ya kutumia kila siku labda kwa emergence tu. Sifui nachoma motoHa ha ha ha. My dear,hizi si nzuri Kama unavyodhani..
Basi kaa mbali na pedi hizi.Ha haaa sipendi kufua jamani loh
Oooh kumbe!! Hebu tueleze zaidi....Hizi si nzuri kabisaa. Sikushauri utumie wala kujaribisha...