Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,640
Kama nitakutana nazo sitazifua. Nachoma motoBasi kaa mbali na pedi hizi.
Kama nitakutana nazo sitazifua. Nachoma motoBasi kaa mbali na pedi hizi.
Wababa wasikuhizi wameamkaHii maada nilifikiri wachangiaji wakubwa watakuwa akina mama but naona akina baba wako mbele sasa sijui tafsiri yake

Kama nitakutana nazo sitazifua. Nachoma moto
zina kifungo unabana![]()
![]()
![]()
![]()
Sasa si bora utumie za kawaida tu. Hivi kwanza hazitelezi? Maana sidhani kama zina gundi, unaweza kuta unaharibu siku hivi hivi!!!
Mmmh!! Hebu jaribu ulete mrejesho.zina kifungo unabana
Samahani Mimi sio mwanaume..hivyo naelewa kabisa ninachokifanyaBESTITO HUYO NI MWANAMUME HAJUI MAMBO YA KIKE YY ANAFANYA BIASHARA TU
ASA ukifua utaanika WAP?! Hata mi siyaweziihii me siwezi kaka acha tu hii fashion inipite
Tampon sio,nzuri kwa sababu. Hedhi, Uchafu unaotoka kwa mfumo wa damu. Unatoka ndani kwenda nje,ukishaisokomeza tampon yako Huo uchafu unakuwa huko ndani tu,so possibility ya kuwa na funguz na other infection ni Kubwa mnoOooh kumbe!! Hebu tueleze zaidi....
Tampons Hata kwa emergency hushauriwi kutumia. Soma nilicho.jibu espy Hapo juu.Sio kwaajili ya kutumia kila siku labda kwa emergence tu. Sifui nachoma moto
kwahiyo unashauri nini???Kuna Uzi humu wengi walikuwa wanalalamika kama zile sijui HQ zinawawasha Mara sijui zinafanyeje kwenye papuchi!
Ngoja niutafute ule Uzi nikiupata nakuwekea hapa
Kama zile zisizo za kufua hazikuletei shida tumia zile, ila kama zinatatizo hizi nadhani zitakua nzurikwahiyo unashauri nini???
We unaongelea zile za kutumbukiza nadhani, sio hizi za kufua?!!Tampon sio,nzuri kwa sababu. Hedhi, Uchafu unaotoka kwa mfumo wa damu. Unatoka ndani kwenda nje,ukishaisokomeza tampon yako Huo uchafu unakuwa huko ndani tu,so possibility ya kuwa na funguz na other infection ni Kubwa mno
Hayakuhusu!Hii maada nilifikiri wachangiaji wakubwa watakuwa akina mama but naona akina baba wako mbele sasa sijui tafsiri yake


