Pedi za kufua

Pedi za kufua

Mimi wakati nasoma sec.mama hakuwa na uwezo wa kuninunulia Pedi kila mwezi nimeishia kutumia vitambaa na kufua na kuanika.sikuwa Mdada wa mjini. Mambo ya kufua nimeyapitia. Usijali muuzaji utapata wateja
 
Wanawake shida sana kuwaelewa!
Zile nyingine ambazo sio za kufua ukiwakuta wanavyolalamika kama zinawaletea matatizo!
Sasa mmeletewa hizo za kufua nazo tatizo khaaaa!
Hivi huwa mnataka nini?
Nashukuru kwa kulitambua hilo..hizi zinatuepusha na matatizo mengi sana kiafya maana ni natural kabisa ..hakina kemikali yoyote iliyotumika katika kuzitengeneza
 
Mimi wakati nasoma sec.mama hakuwa na uwezo wa kuninunulia Pedi kila mwezi nimeishia kutumia vitambaa na kufua na kuanika.sikuwa Mdada wa mjini. Mambo ya kufua nimeyapitia. Usijali muuzaji utapata wateja
Santee sana Dada
 
Swali langu ni kwamba ukibadilisha utahifadhi wapi mpaka muda wa kurudi nyumbani kwa wale wanaenda ofisini,shule na kwenye biashara???
Au unafunga unarudisha kwenye mkoba(mmmmh cpati picha unafungua mkoba kwenye daladala utoe nauli hy harufu itakavyosambaa na joto la Dar.
Pili tusidanganyane eti kufua maji kidogo tu yanatumika ....chupi yenyewe tu kwa wanao jua kufua vizur unaweza maliza robo ndo maana chupi lazma ufue kwenye beseni au ndo co kwenye kopo la kuogea sasa ndo uje ufue midam ya cku nzima kwa maji kidogo?????
Alafu kwenye kuanika sasa maana kunika chupi nje ckuhiz co issue kama ilivyokuwa zamani kwani ckuhiz watu wanajua kufua chupi zikataka au wengine wanavaa pantiliner so chupi haifubai kabisaaa sasa hy pedi unaanzaje kuanika nje kila mtu ajue uko period????
 
wadada wanao tumia hizi za kudumbukiza ukiwapa hizo si hawatajua ni za kazi gani?
landscape-1438632777-gettyimages-182870400.jpg
 
Swali langu ni kwamba ukibadilisha utahifadhi wapi mpaka muda wa kurudi nyumbani kwa wale wanaenda ofisini,shule na kwenye biashara???
Au unafunga unarudisha kwenye mkoba(mmmmh cpati picha unafungua mkoba kwenye daladala utoe nauli hy harufu itakavyosambaa na joto la Dar.
Pili tusidanganyane eti kufua maji kidogo tu yanatumika ....chupi yenyewe tu kwa wanao jua kufua vizur unaweza maliza robo ndo maana chupi lazma ufue kwenye beseni au ndo co kwenye kopo la kuogea sasa ndo uje ufue midam ya cku nzima kwa maji kidogo?????
Alafu kwenye kuanika sasa maana kunika chupi nje ckuhiz co issue kama ilivyokuwa zamani kwani ckuhiz watu wanajua kufua chupi zikataka au wengine wanavaa pantiliner so chupi haifubai kabisaaa sasa hy pedi unaanzaje kuanika nje kila mtu ajue uko period????
Kila packet ina mfuko unaobana kabisa wa kuhifadhia .
3fde19f0cef9fe8c2a4b905572587ca2.jpg
 
Kila packet ina mfuko unaobana kabisa wa kuhifadhia .
3fde19f0cef9fe8c2a4b905572587ca2.jpg
So baada ya kuhifadhi kwenye mfuko wake naweka ped yenye damu kwenye pochi uwiiiii....samahani dadangu co kwamba nabeza biashara yako but kila nikijaribu kuvuta picha hainingiii kufua damu tena damu zimekaa masaa kadhaa..
 
Jamani mm kama ni ushamba acha niwe mshamba tu,sasa hizo za kudumbukiza k haitotanuka kweli? maana ikijaa bleed inaumuka inakuwa kubwaa, sasa kila mwez ukichomeka kwa cku 5 unaweka hy kitu hauwezi kupata mtera kweli???
 
So baada ya kuhifadhi kwenye mfuko wake naweka ped yenye damu kwenye pochi uwiiiii....samahani dadangu co kwamba nabeza biashara yako but kila nikijaribu kuvuta picha hainingiii kufua damu tena damu zimekaa masaa kadhaa..

Nadhani wewe ni mzaliwa wa mjini na pia mzaliwa wa miaka ya hivi karibuni.

Wanawake waliovunja ungo miaka ya 80 kurudi nyuma na haswa kule kwetu ndani ndani nadhan wana majibu ya maswali mengi uliyouliza
 
DUH..ndo tumefika hapa? na hyo damu inatokaje kwenye hzo pedi? au zinafuliwa dry cleaner?
 
Swali langu ni kwamba ukibadilisha utahifadhi wapi mpaka muda wa kurudi nyumbani kwa wale wanaenda ofisini,shule na kwenye biashara???
Au unafunga unarudisha kwenye mkoba(mmmmh cpati picha unafungua mkoba kwenye daladala utoe nauli hy harufu itakavyosambaa na joto la Dar.
Pili tusidanganyane eti kufua maji kidogo tu yanatumika ....chupi yenyewe tu kwa wanao jua kufua vizur unaweza maliza robo ndo maana chupi lazma ufue kwenye beseni au ndo co kwenye kopo la kuogea sasa ndo uje ufue midam ya cku nzima kwa maji kidogo?????
Alafu kwenye kuanika sasa maana kunika chupi nje ckuhiz co issue kama ilivyokuwa zamani kwani ckuhiz watu wanajua kufua chupi zikataka au wengine wanavaa pantiliner so chupi haifubai kabisaaa sasa hy pedi unaanzaje kuanika nje kila mtu ajue uko period????
Hata mimi nimewazaaaaa hayo ulowaza nikaishia tu kughairi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom