DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,986
- 3,150
Hii maada nilifikiri wachangiaji wakubwa watakuwa akina mama but naona akina baba wako mbele sasa sijui tafsiri yake
Habari wamama na wadada nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet. Na packet moja ni Tsh 10,000/= Zinapatikana Arusha,kwengine kote tunatuma kwa Bus kwa uaminifu sana, HAKUNA UTAPELI.![]()
Mawasiliano 0765554391.![]()
![]()
Wababa wa daresalama haoHii maada nilifikiri wachangiaji wakubwa watakuwa akina mama but naona akina baba wako mbele sasa sijui tafsiri yake
Taratibu za kuwa wakala zikoje mkuuHabari wamama na wadada nauza pedi nzuri sana za kufua. Ni nzuri sana kiafya hazina kemikali kabisa, ni pedi zinazodumu kwa muda mrefu sana, unatumia mwaka mmoja na zaidi. Zipo 4 kwenye packet. Na packet moja ni Tsh 10,000/= Zinapatikana Arusha,kwengine kote tunatuma kwa Bus kwa uaminifu sana, HAKUNA UTAPELI.![]()
Mawasiliano 0765554391.![]()
![]()
Wanawake wengine chupi tu zinakakamaa ...sasa hizo pedi si watavunda kabisa


Hii experience uliona wapi/ ni wewe mwenyewe mkuu?Wanawake wengine chupi tu zinakakamaa ...sasa hizo pedi si watavunda kabisa
Naomba nikukosoe, hizi sio za Kichina, ni made in Uganda na ndo maana zikaitwa AFRIPADS zingekuwa za wachina zingekuwa na jina la KICHINA.Na sio za majaribio.Hygenical its not adviceable
Hivi v2 tunakubali majaribio ya kichina yanakuja kufanyika africa hata jina AFRIPAD hedhi ni uchafu
Acha zibaki PAMPERS za kufua kwa watoto
Hapo hadi mtoni nahisihapana kwa kweli .utaosha na maji ndoo ngapi kwanza?
Kimbelembele tu. Kuchangia vitu wasivyovifahamuHii maada nilifikiri wachangiaji wakubwa watakuwa akina mama but naona akina baba wako mbele sasa sijui tafsiri yake
kwani tulisema zina shida gani?Wanawake shida sana kuwaelewa!
Zile nyingine ambazo sio za kufua ukiwakuta wanavyolalamika kama zinawaletea matatizo!
Sasa mmeletewa hizo za kufua nazo tatizo khaaaa!
Hivi huwa mnataka nini?
Santee sana nitalifanyia kaziJamii ya daraja la tatu zingewafaa sana ila huku mjini inakabiliwa na changamoto ya maji na usiri. Wataanika wapi hiyo pedi mpaka ikauke sawasawa? Ikishatumika inahifadhiwa vipi huko uswahilini ambapo hakuna mita ya mraba iliyo wazi? Vipande vyao vyepesi vya kanga "huanika" chini ya godoro. Kwa kuzingatia ukosefu wa maji na usiri wa kuanika na kutupa kuna mtu huko Kenya au Uganda alibuni pedi za kutengenezwa na mavi ya ng'ombe, kwa hiyo, ikishatumika inatupwa na taka zingine inaoza na kurudi udongoni haraka. Hata hivyo bado kuna vijiji ambavyo mazingira yanafaa hizo pedi kutumika na kuna uhitaji mkubwa sana. Kwa hiyo wanachofanya wenzio ni kutafuta ufadhili wa mashirika ambayo hununua hizo pedi na kupeleka au kutoa fedha kwa wanaharakati ambao hununua na kupeleka vijijini. Fikiria kuandika pendekezo kwa mashirika yanayojishughulisha na elimu na ustawi wa watoto wa kike.
Karibu tuwasiliane kwa namba 0765554391.Taratibu za kuwa wakala zikoje mkuu
Kiafya ni salama sanaNi nzuri utumie kwa emergence kama za kawaida zimeisha. Ila kutumia kila siku duh! Kufua mtihani
Kuna Uzi humu wengi walikuwa wanalalamika kama zile sijui HQ zinawawasha Mara sijui zinafanyeje kwenye papuchi!kwani tulisema zina shida gani?
Kuishi kwingi ....ndiyo kuona mengiHii experience uliona wapi/ ni wewe mwenyewe mkuu?