hapo nadhani inakuwa mnakubaliana kabisa, huwezi kukubali mpaka unabeba mimba na hujui cha kumpatia mwanao kisa unalinda kazi ambayo bado unajua ni ya mshahara mdogo huwezi kujikimu wewe na mwanao, wadada smtymz tunarubunika na vitu vidogo sana jamani...hapo mlirubuniwa mkarubunika., kwa hayo mengine pole sana.La kusikitisha tunalazimishwa kufanya ngono ili tusipoteze kazi.Ushahidi upo baadhi yetu wana watoto waliozaliwa na mafisadi hawa,Mwenyewe Bwana Joseph Mfugale,Mtoto wake Damas Mfugale,Mdogo wake Damas yaani Vitus na mdogo wake Joseph yaani Titus.Familia hii imetuzalisha kama wanyama wa porini,Hakuna huduma tunayoipata kwa ajili ya watoto zaidi ya mshahara wa mwezi tu.
Wajameni;
No matter how low au ignorant Timor atakuwa, hili si la kuachwa lipite hivihivi... Si rahisi mtu kujitolea hivi ili azushe.
Binafsi nam-appreciate Damas kwa kuwa kijana wa heshima na service level ya hotel ni fair;
Unless tunaishi Mars
Mkuu TIMOR,,nimekueleza hapo juu kuna watoto wametumwa humu ndani si unaona wameamua kuanza kujinyesha ...............loh!!!!!!!!!!shame
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni na si ngonolazimishi!!!
shame mfugale!!unamuua mkeo kwasababu ya tamaa za dunia!!!kuna mwenzao yuko RIKI HOTEL huyu nae mmmhh!!!uliza ndio mzee wa kanisa vibaya sana ,,ila humo ndani watoto wanavyogawana hiyo nyeti utasema aijafungiwa zipu....kibaya amekuwa na maisha ya kishirikina sana kila mwaka anafanya sherehe alafu kunakuwa na maji ya kunawa masharti yasidondoke hata tone..baada ya hapo wote mliokula zinachukuliwa na servietts mlizotumia zinaenda kufanyiwa kazi pale boko...hawa watu balaa malaya...washirikina kila sehemu wapo
...Unajua mwanamke mara nyingi hawezi kuzungumza matusi yote kwa mumewe,Atabaki kusema tuu kazi mahali pale ni ngumu.Sasa ujue mtu mzima akisema hivyo.............(.....)
Halafu ni kweli kabisa hawa wafanyakazi wa kigeni anaowaokoteza huko na huko ,wakifika pale ndiyo kwanza wanajifanya Ma tx.Kuna GM mmoja aliwahi kuletwa miaka kama mitatu hivi,Yule bwana alikuwa anatoka mmojawapo ya nchi zilizo Kusini mwa Afrika,Nakwaambia alikuwa ana nata siyo kawaida.Uongozi hajui utawala hajui yaani alikuwa ni mzigo tu.Lakini Mfugale kwa kuwa alitoka kwa watu wanaongea Kiingereza ambacho naye hakijui zaidi ya neno @attitude" alimkumbatia sana na kutudharau sisi wazawa na shahada zetu na pale Mlimani,Sasa siku moja nikiwa kwenye mkutano wa SADC katika mji Mkuu wa nchi hiyo nilimkuta katika Hotel moja ya Hilton akiwa waiter.Kwa bahati nzuri ananifahamu saaana.Alipofika machoni pangu na tray ya vinywaji ilimponyoka ikadondoka chini.Kisa??Kuona kuwa ananihudumia mie niliyekuwa staff wake yeye akiitwa GM!!!!!Hakika ulikuwa ni mfadhaiko mkubwa sana kwake .Nikamuuliza kulikoni "Kasema alipofika nchini kwao alikuta nafasi yake ya U-GM imechukuliwa na kaburu.Nikamuuliza unakumbuka nikikwambia kuwa ulikuwa huna sifa za umeneja ? bora ungekuwa bellboy?Alijisikia aibu ipitayo kikomo.
...Sasa ndivyo watanzania tumefanywa kuwa vibarua ndani ya nchi yetu wenyewe huku tukiwatukuza wenye kuongea Kiingereza kuwa wao wanajua kila kitu.Meneja huyu alikuwa akilipwa dola 3000U$,Huku watanzania wenye Mastersdegree kama kina Jack wakilipwa shs.240,000/= tuuu.Sasa Jack ana nafasi nzuri katika Taasisi ya Umma na analipwa vizuri sana.Lakini yeye na wengine hawatasahau pale Peacock jinsi walivyonyanyaswa na kupuuzwa...
Hili la ukwepaji wa kodi linajulikana hata ndani ya TRA, Kiongozi mmoja wa TRA alikuwa akija kwa huyu Bwana kuchukua bahasha kila mara. DAWASCO je? TANESCO je!? Billi hizo hazilipi ipasavyo zaidi zaidi hutoa bahasha tuu.
Yupo Waziri mmoja katika awamu ya nne alikuwa Mali Asili na Utalii jina sitamtaja alikuwa na chumba chake ghorofa ya 7 kwa ajili ya ufuska tuu,hapewi bill huyu....
Yupo Waziri mmoja katika awamu ya nne alikuwa Mali Asili na Utalii jina sitamtaja alikuwa na chumba chake ghorofa ya 7 kwa ajili ya ufuska tuu....
Timor, sikuwa nimeiangalia hii topic tangu inaanza, nilichukulia simple tu... Do you need our input?Ukweli kuendeshwa na mzawa sisi hatuna shida nalo, Ila mateso tunayoyapa, vitisho, masumango, Leo ukija hapa Hotelini hakuna mtu aliye radhi kukueleza yanayojiri ndani kwa kuhofia hatima yake.
Dada unatia aibu wanawake wenzako. Sasa kama wewe umesoma kuliko huyu mzee wa Peacock mbona hukutafuta kazi kwingine ambako hawaendekezi Ngono? Wewe hukwenda Peacock kuajiriwa, ulikwenda kutafuta mabwana na hao wenzako mliozalishwa na kama mnauwezo mzuri wa kufanya kazi. Hivi kweli wewe umesoma na unaujuzi wako usingekaa hapo na usinge kubali kulala nao at first place au na wewe ulijipeleka tu pale ukijua huna uwezo ndio maana wanakuchezea? Na kama huyu bwana hajasoma aliwezaje kufika hapo? Ni lazima tuwapongeze hawa mabwana wa Peacock kwa uzalendo wao na uwezo wa kibiashara. Ukumbuke kwenda darasani sio lazima uweze biashara, angalia kina Bill Gate(kama hata unawajua) ni drop outs. Mzee Mfugale amesomesha watoto wake vizuri na biashara yake itaendelea kukua. lazima tuwe wawazi..........mnyonge mnyongee, haki yake mpe!
Naomba usome tena Ndugu Laligeni alivyo kushauri kuwa uelekee ustawi wa jamii kwani sisi wana-JF tunakabiliana na mambo muhimu na sio kupoteza muda kudiscuss mambo ya jinsi wewe ulivyo kuwa rahisi na hao wenzako na kuzalishwa na hawa mabwana. Swala la TRA tunaweza kuliangalia LAKINI, inaonyesha kuwa this is malicious,yaani ni uzushi unaojaribu kuwachafua hawa baba wa watoto wenu baada ya wao kuingia mitini hata ingekuwa mimi ningekutema tu. Kwa maelezo yako onaoneka/ mnaonekana nyie mliozaliswa kuwa na matatizo ya akili. Kwani wewe huogopi waume za watu. du halafu yule mzee ni mtu mzima anayejiheshimu katika jamii yetu. Ni vibaya kuzusha vitu kama hivyi. Kwa kuthibitisha uzushi wako, hii familia hauielewi. Vitus ni kaka wa damas na sio mdogo wa damas. Pia jina la mwisho la Mzee Mfugale umelikosea spelling. Hivyo inaelekea humjui baba wa mtoto/watoto wako na kwa kuwa unafanya kazi hapo umejiamulia kuwapa watoto/mtoto hao mababa hao. Dada Haujatulia.
waswahili bwana ndio maana hatuendelei. Peacock ni hoteli ya wazawa ambao inaongoza kwa kufanya vizuri, TRA wangeshajua kama hawa mabwana wanakwepa kodi. Za mwizi arobaini, watapatikana tu. Hivyo wewe tulia na ukafanye DNA test ili ujue baba watoto wako kwani wewe unalala na kila mtu.
Ushauri kwa Mfugales, next time when you recruit, please try and exclude these cheap uneducated staff who can dent your business.
Wewe unachekesha kweli!
Sasa kazi unataka miguu na hiyo kitu unavua mwenyewe kisha unapanua miguu wewe mwenyewe kwani unabakwa?Njaa zenu zitasababisha muambukizwe UKIMWI hivi hivi.
Sio vizuri kumtusi mtu, kama huna msaada au ushauri kwake nyamaza. After all huyu dada ataisaidia sana TRA kama ataanika wizi uliofanyika, kama wazawa wenyewe wanaiibia nchi yao kwa nini wageni waogope kuiba? Charity begins at home.
Jamii kwanini timor anatoa badai halafu anakimbia imi nimemfuata chemba nikampa mpaka no yangu ya simu tuwasiliane nimpe mwanasheria toka lchp hajibu anakimbia maana yake nini ?
Jamii kwanini timor anatoa badai halafu anakimbia imi nimemfuata chemba nikampa mpaka no yangu ya simu tuwasiliane nimpe mwanasheria toka lchp hajibu anakimbia maana yake nini ?