Peacock hotels na unyanyasaji wa kijinsia

Jamani Shy kila kitu nimekupa sijakimbia.Hujui kwamba mimi ni mwaajiriwa na hawa mafisadi.Internet yenyewe hadi kibandani Kisutu unadhani mchezo.Hebu fungua PM yako uaanze kazi basi mapema kesho asubuhi.

Good ndugu yangu, unajua wengine wanafikiri jinsi mazingira yake ya kazi etc yalivyo vyote ni hivyo hivyo....mtu anayetaka kuonana na Timor mi tena nafikiri mpeane appointment mkakutane sehemu nyingine kabisa sio pale pale hotelini, mtamsababishia matatizo makubwa mwenzenu apoteze au uhai wake au hako kamshahara kake anakopata!

Humu ndani tu, wengi wetu tunaogopa hata kudisplay majina yetu ya kweli for confidentiality reasons, sasa sembuse huyu dada? Atawaanije nyie kina SHY wakati hakujui? je, itakuwavipi kama we SHY ni mzee Mfugale au mtoto wake? so huyu dada, anaright ya kuyaendea polepole haya mambo!

Nakushauri, TIMOR to be very careful unapotucontact sisi wenye nick names za ajabu!
 
Jamani mzalendo wa namna hii atoke wapi tena....Hebu Invisible msaidie huyu mtu anayelisaidia Taifa linaloangamizwa na mafisadi bas!
Najitolea usafiri kukupeleka pale Mnazi Mmoja.
 
Mambo haya yanatokea katika biashara za watu wengi binafsi lakini hili la Peacock Hotels linatisha,Awali wa yote mahusiano ya kingono baina ya mmliki hotel Joseph Mrangila Mfugale na wafanyakazi wa kike yanatisha na kutia aibu. Ni jambo la kusikitisha kabisa kuwa hotel hii inamilikiwa na kuendeshwa na mtu ambaye hakwenda darasani kabisa, akisaidiwa na watoto wake wenye hulka kama za baba yao. Sisi wafanyakazi wa kike tunapata mateso makubwa sana. Kwanza sharti ulale na baba halafu watoto nao wavinjari nawe kadri watakavyo.

Hali hii ni ya muda mrefu sana kiasi kwamba tumelalamika kila kunakohusika hakuna wa kutusikiliza.Maslahi kwa maana ya mishahara tunayoipata hapa ni midogo sana,tena makato yetu ya pesheni hayapelekwi kunakopaswa huku tukikatwa kila mwezi.

La kusikitisha tunalazimishwa kufanya ngono ili tusipoteze kazi. Ushahidi upo baadhi yetu wana watoto waliozaliwa na mafisadi hawa,Mwenyewe Bwana Joseph Mfugale, Mtoto wake Damas Mfugale, Mdogo wake Damas yaani Vitus na mdogo wake Joseph yaani Titus.Familia hii imetuzalisha kama wanyama wa porini,Hakuna huduma tunayoipata kwa ajili ya watoto zaidi ya mshahara wa mwezi tu.

Kwa ujumla maisha ya ajira katika hizi hotel ni ya kusikitisha sana.Watu wengi wenye elimu zao mahali hapa hawakai kabisa. Huingiza mguu na kutoka kwa kipindi kisichopungua mwezi mmoja.

Ujanja anaoutumia baada ya kuona janja zao zimefahamika ni kuwatumia wafanyakazi wa kigeni toka Kenya, A.Kusini, Zimbabwe, Uganda nk, Hata na wao hawakai muda wakiwagundua ufisadi wao.

Lakini jambo jingine ni ufisadi wa kuiibia serikali kodi hesabu zinazotolewa hapa Peacock siyo za kweli, Kwani katika mfumo wa Computer kuna Peacock One na Peacock Two.Moja ndo ya kuonyesha TRA na nyingine ndo halisi mapato yanayopatikana.

Naomba wana-JF NJOONI HAPA Mnazi mmoja au Millenium Tower niko tayari kuwapa data zenye details zote za hawa mafisadi mkazifanyie kazi .

Ubakwe pamoja na dhambi zingine zote ulizozitaja halafu uyalete hapa na usiende kwenye sheria. mnhhh, hatari kubwa hii.

Mimi nna-shaka walivyokutaka hao wenye hoteli wala hawakukubaka, mlikubaliana na sasa uhusiano umepunguwa au wameshapata vidosho wengine, hasira ndio zinakuleta hapa. Muache ngono!
 
Kama ni kweli...basi aibu kweli kweli!

Je kuna kosa la ubakaji? Au ni mapenzi ya hiari?

Kwa nini mtu asiende polisi/mahakamani kama kuna kuzalimishwa?

Halafu wewe mschana utakubalije kuwa na mahusiano na baba na watoto?

Saa ingine dada zetu hujirahisisha ili kupata favour!


Wakulu tukianza kumhukumu huyu mtendwa kuwa kunautayari wakufanya mambo haya tutakuwa tunakosea. Haya mambo yapo na yamekua kwa muda mrefu katika jamii yetu hasa kwenye sector hizi za hotel na bars. Wasichana wa bar, pamoja na mshahara mdogo sana wanaolipwa ni ukweli usiopingika na washa lalama sana bila mafanikio kuhusu kunyanywaswa kijinsia na mabosi wao. Kwa sababu hakuna wakuwasaidia basi wamekuwa wakiendelea kuwapa uroda mabosi wao pendinge bile ridhaa yao ya dhati. Hivyo nadhani vyombo husika vichunguze jambo hili nakuchukua hatua.
 
Hali halisi sasa iko hivi,Baada ya kupiga parapanda hii ya unyanyaswaji ndani ya hoteli hii ni mtafaruku mtupu.Alikuja Paparazi mmoja akafikia ofisini kwa Mfugale mwenyewe kutaka kujua maelezo yangu kama ni ya kweli.Baada ya kumweeleza alimwita Msaidizi wake yaani Agnes ambaye pia ndiyo nyumba yake ndogo ya hapo ofisini,Kutaka kujua uhakika wa habari hizi.Agnes alijibu nimesikia tetesi tu sijaona andiko hilo kama lilivyo.Basi yule paparazi akaambiwa aje siku nyingine akiwa na mtu anayeweza kuliondoa kwenye mtandao.

Hadithi hiyo haikuishia hapo zoezi la kumshika mchawi yaani mimi likaendelea huku Damas akimhoji mtu mmoja mmoja kujua nani hasa amehusika kama kweli yupo au aliyekwishakuondoka.Kashikashi lilikuja nilipoitwa kuhojiwa kama kuna habari zozote ninazozijua kutokana na andiko hilo siyo kwamba walijua ni mimi ila alikuwa akiongea tu na kila mtu.Ukatili gani nimefanyiwa au unyanyasaji wa kijinsia unaofanyika hapa hotelini.Nilimweleza bayana yale ambayo yamekuwa yakitokea na kusikia,Kisha akaniambia nisimweleze mtu mwingine tulichoongea!!!!!
Huku nyuma Kiongozi wa askari Kikula (Ambaye ni shemeji yake Mfugale) akifanya upekuzi kwetu wasichana kwa namna ya kuzidi kutuongezea maudhi,Tabia zake ni za kidhalilishaji sana,kwanza anakupa vitisho vya kufukuzwa kazi kwamba atakubambikizia chochote ili ufukuzwe,Lakini lengo lake ni kututaka kufanya naye mapenzi hasa tunapokuwa shift za usiku.Katika swala hili la kumtafuta mchawi anaitumia nafasi hii kama silaha na kusema anawajua waliosema hivyo na atawataja kwa Mzee ili wafukuzwe kazi(Yeye ni mwajiriwa sawa sawa na sisi ila tu ana uhusiano na mwenye mali).Kwa kweli kazi hapa imekuwa karaha kupindukia.
Wadau tusaidieni kulipigia parapanda kunakohusika.
 
Timor,
I am not going to doubt what you have stated here. I personally know Damas Mufgale and he is one of my good friends. In fact I am related to Mfugale's second wife Blandina. Also I have so many clients who we send to peacock hotel. Please send me Damasi Mfugale's number and I will call him personally and talk to him about these allegations. I am outraged with this unprofessional behavior. I know it takes courage to come out here and write. I salute you for your courage. It is so unfair and it is sexism. People can criticize you all they want, but the truth is women have been subjugated to such discrimination for so long. It is easy for people to condemn the women involved, but when one is desperate it is so easy to be caught in indecent proposal. Unfortunately or fortunately we leave in a world were communication has made it easy for people to voice their concerns. If there will be any evidence that peacock mistreats its employees, I can assure you peacock would lose so many customers. So please do not let anyone discourage you, but also you have to be totally fair and honest when presenting your facts. I hope you also have people who could back you up. You being a whistleblower could be a lesson to so many other people and you might save so many lives. I actually know a woman who used to work for Peacock and now she is with St. Gaspar's Hotels in Dodoma, and I am sure she left for a reason. Please keep the good work and do not let anyone intimidate you. I am sure Damasi visits this websites now and then, if he does, he should try to come clean. Once again another person's story is true, until you hear the other side. Right now we will assume these are just speculations. But Peacock has to clear it's name, otherwise we are forced to start thinking there is something fishy going on. I am not taking sides at all, these could be malicious accusations against peacock, but we cannot rule out these allegations.
 
Timor,
I am not going to doubt what you have stated here. I personally know Damas Mufgale and he is one of my good friends. In fact I am related to Mfugale's second wife Blandina. Also I have so many clients who we send to peacock hotel. Please send me Damasi Mfugale's number and I will call him personally and talk to him about these allegations. I am outraged with this unprofessional behavior. I know it takes courage to come out here and write. I salute you for your courage. It is so unfair and it is sexism. People can criticize you all they want, but the truth is women have been subjugated to such discrimination for so long. It is easy for people to condemn the women involved, but when one is desperate it is so easy to be caught in indecent proposal. Unfortunately or fortunately we leave in a world were communication has made it easy for people to voice their concerns. If there will be any evidence that peacock mistreats its employees, I can assure you peacock would lose so many customers. So please do not let anyone discourage you, but also you have to be totally fair and honest when presenting your facts. I hope you also have people who could back you up. You being a whistleblower could be a lesson to so many other people and you might save so many lives. I actually know a woman who used to work for Peacock and now she is with St. Gaspar's Hotels in Dodoma, and I am sure she left for a reason. Please keep the good work and do not let anyone intimidate you. I am sure Damasi visits this websites now and then, if he does, he should try to come clean. Once again another person's story is true, until you hear the other side. Right now we will assume these are just speculations. But Peacock has to clear it's name, otherwise we are forced to start thinking there is something fishy going on. I am not taking sides at all, these could be malicious accusations against peacock, but we cannot rule out these allegations.


Just a quick observation, why are u asking his number from this whistleblower, yet u claim to know the owner personally, and u even send customers there? could it be that u still dont have mfugale's number or am missing something?

Timor, dont network with this person......i sense something fishy here
 
Just a quick observation, why are u asking his number from this whistleblower, yet u claim to know the owner personally, and u even send customers there? could it be that u still dont have mfugale's number or am missing something?

Timor, dont network with this person......i sense something fishy here

Kweli kabisa. Kama anataka namba si angalie kwenye kitabu cha simu ili apewe simu za hapo hotelini??
 
Sorry if my previous message made you guys suspicious, but I was just trying to find a way to help. In fact I also had a friend of a friend who used to be an accountant there and he has told me some stroies about the Old man and they are kind of disturbing.

I undestand what you guys are saying. I know if I call the front desk they would not give me his number. I used to have his number on my TZ chip, but unfortunately I cannot access that. Even Timor knows kwamba kumpata huyu Damas kupitia front Desk ni shida. How would it harm Timor to give me Damasi's number. Serious guys? I shoud have added to Timor if she/he is comfortable though. Anyways, it is not a big deal. I was just outraged and I wanted to talk to Damas and to let him know that the whole world knows about their mismanagement and unprofessionalism and if they continue to do so, they will lose some of their long time customers. Anyways, it was just a thought and I was genuine. I had no other intention. I hope though Damasi visits this sites, because it is so important to know how this may affect their business. If the allegations are true, they need to restructure their management. Timor if you are a woman why don't you go see TAWLA or TGNP? I am sure they would be a great help. I also suggest to visit an organization called Women dignity, I am just trying to see how this could be handled.

At the end whatever you decide to do, please just know that you have so many people behind you and supporting you. all you need to do is find the right sources and be honest. I know how it is hard to find genuine people who would give you the kind of support you will need, but I am sure as long as you have the evidence your case would be heard. I want you to be careful though among your colleagues, find people who share your concerns. Its easy for people to be bought up. If i were you, I would record every conversation you will be having with anyone. Anyways, I will pray for you and I want you to know I am proud of you for the courage to represent many of the workers in peacock.

God Bless you
Kilandu
 
Back
Top Bottom