PCCB: NSSF is the least corrupt institution in Tanzania

tunashkuru kwa michango yenu na tunaomba mtupe maoni kuhusu website yetu mpya ya NSSF
 
Kadoa ka-Udini NSSF na Upendeleo kwa Watumishi wa Dini moia na Dau Kapo sana!Labda kwa kuwa asilimia kubwa sana ya Viongozi NSSF ni dini moja na Dau na si rahisi kujua walipatikana VP!PCCB Ingeanzia na chanzo chake!
Pia NSSF ndio Shirika Kubwa linalovuna Pesa nyingi za michango ya mwezi toka kwa Wanachama wake(Kujiunga ni Lazima) Wakati huo huo ndio shirika linalotoa Mafao Kiduchu kwa wanachama wake wanapostaafu!Formula yao ya Kukokotoa mafao ni ya KINYONYAJI Ipo tofauti na Mashirika mengine ya hifadhi ya jamii kama LAPF na GSPF napo hapa kwa PCCB sio tatizo!
Jamani PCCB wanawezaga nini?
 
Kadoa ka-Udini NSSF na Upendeleo kwa Watumishi ambao ni wa Dini moia na Dau Kapo sana!Labda kwa kuwa asilimia kubwa sana ya Viongozi NSSF ni dini moja na Dau ambae ni CEO na si rahisi kujua walipatikana VP!PCCB Ingeanzia na chanzo cha viongozi kuwa Dini moja!
Pia NSSF ndio Shirika Kubwa linalovuna Pesa nyingi za michango ya mwezi toka kwa Wanachama wake(Kujiunga ni Lazima) na kuongoza kuwa na vitega Uchimi vya kutosha, Wakati huo huo ndio shirika linalotoa Mafao Kiduchu kwa wanachama wake wanapostaafu cha Kujiuliza wanapo wekeza ni kwa ajili ya nani kama mwanachama wa shirika kubwa kama NSSF anapostaafu Anapewa mafao Kiduchu?!Formula yao ya Kukokotoa mafao ni ya KINYONYAJI Ipo tofauti na Mashirika mengine ya hifadhi ya jamii kama LAPF na GSPF napo hapa kwa PCCB sio tatizo!
Jamani PCCB wanawezaga nini?
 
kadoa ka-udini nssf na upendeleo kwa watumishi ambao ni wa dini moia na dau kapo sana!labda kwa kuwa asilimia kubwa sana ya viongozi nssf ni dini moja na dau ambae ni ceo na si rahisi kujua walipatikana vp!pccb ingeanzia na chanzo cha viongozi kuwa dini moja!
Pia nssf ndio shirika kubwa linalovuna pesa nyingi za michango ya mwezi toka kwa wanachama wake(kujiunga ni lazima) na kuongoza kuwa na vitega uchimi vya kutosha, wakati huo huo ndio shirika linalotoa mafao kiduchu kwa wanachama wake wanapostaafu cha kujiuliza wanapo wekeza ni kwa ajili ya nani kama mwanachama wa shirika kubwa kama nssf anapostaafu anapewa mafao kiduchu?!formula yao ya kukokotoa mafao ni ya kinyonyaji ipo tofauti na mashirika mengine ya hifadhi ya jamii kama lapf na gspf napo hapa kwa pccb sio tatizo!
Jamani pccb wanawezaga nini?
 
Wenye akili wote Tanzania wanajua kuwa Dau is corrupt kwani wakina Manji ndiko wanakofilisi hela za wafanyakazi hata wanapostaafu hawapati fedha zao wanaishia kujiua kwa shida zinazowakabili; hii ripoti ni feki mbona CAG kasema NSSF wamewekeza fedha nyingi za pension ya watu kwenye miradi isiyoripa yote hiyo kwasababu ya 10%!!! Kama hiyo siyo corruption ni nini basi?

CAG yupi huyo Utuoh?

The man is an idiot and that's an open secret, hana credibility hata kidoghumu JF
 
Huyu Hosea atakuwa anamtetea Muislam mwenzie Dau

haiwezekani kati ya mashirika yooote NSSF peke yake wawe mentioned kuwa wao ndio least corrupt!

Napata shida kidogo kuamini kwamba watafiti hao wamekuja na majibu sahihi, hasa ukizingatia yale yaliyojitokeza NSSF kuhusiana na issue ya Manji na majengo ya Ubungo. Hata hivyo ni kukosa ufahamu na irresponsibility ya hali ya juu kudai kwamba Hosea na Dau wote ni waislamu. Hosea ni Msabato tena na muumini wa mara kwa mara pale Magomeni.
 
kama hii ndo maana halisi ya least corruption institutions are the NSSF, PCCB and banking sector; these institutions are ranked as corrupt by only 28.7 percent, 29.6 percent and 36.7 percent of household respondents, respectively.
mbona hizo parcentage are so high? and yet we confidentily say least corrupt institutions? kazi bado kubwa nchi hii.
 
Huyu Hosea atakuwa anamtetea Muislam mwenzie Dauhaiwezekani kati ya mashirika yooote NSSF peke yake wawe mentioned kuwa wao ndio least corrupt!
Nyie watanzania kwa kuropoka mtaacha lini,mnapenda kuongea mambo ya barabarani bila kujua,aliyekwambia Hosea MWISALMU NI NANI@ Hosea ni mkristo tena Msabato anasali kanisa la mwenge na ni msabato wa kweli acheni majungu.
 
NSSF, MANJI NA MILLENIUM BUSINESS PARK. Watanzania mbona tunasahau kirahisi? pale ulipigwa ufisadi wa bilions. ukichukua rushwa za mahakama labda kwa miaka kumi ndo zinafikia deal moja ya ile biashara iliyofanyika pale. yapo maeneo mengi tatizo PCCB wao wenyewe hawana uwezo hata wa kutambua issue zinapigwaje wainaishia kfanya viresearch feki.
 
au TRA nako kuna rushwa iliyokithiri?[/QUOTE] UNAULIZA VUMBI KWENYE STOO YA CEMENT!!!?
 
Yawezekana PCCB walihongwa kuweka hiyo ripoti.......... nikiangalia jinsi ninavyoteseka kufuatilia mafao yangu since June nachoka kabisa

Kila baada ya wiki wananitumia sms, tena usiku kwamba tunasikitika kwa sababu zisizozuilika usije jumatatu/jumanne hadi tutakapokuita; baada ya wiki, samahani usije wiki ijayo kwani hatujakamilisha... kibaya zaidi wanasahau waliniambia nisiende hadi waniite

all these to attract my desperation mezani kwao, which i will never do, na this time nawatoa kwenye facebook au hata gazetini kwani namba zao ninazo na wanachofanya si sahihi

NSSF IS CORRUPT, SASA KAMA WAO NDIO LEAST CORRUP, BASI TUNA HALI MBAYA SANA

NAWAPONGEZA KWA ACHIEVEMENT
 
UPDATE:

Hafla ilikuwa Serena na Clients ni NSSF na MoW kwa share ya 60 kwa 40.

Mkandarasi aliyeshinda zabuni ni CRJE

Shughuli imeisha hapa Serena hotel

VIDEO: Magufuli akiongea

[video=youtube_share;Ph1NCMpyxAg]http://youtu.be/Ph1NCMpyxAg[/video]

PICHA:


IMG_4361.jpg
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii,Dkt. Ramadhan Dau ( wa pili kushoto) akisaini vitabu vya mkataba wa mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ukandarasi ya China Railway Jiangchang Engineering,Bw. Shi Yuan (pili kulia) na Muwakilishi wa Kampuni ya Ukandarasi ya Major Bridge Engineering,Bw. Zhou Yiqiao kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam leo.
IMG_4383.jpg

IMG_4411.jpg

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii,Dkt. Ramadhan Dau (kushoto) akibabadilirishana vitabu vya mkataba wa mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ukandarasi ya China Railway Jiangchang Engineering,Bw. Shi Yuan mara baada ya kusaini leo kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.Wengine Pichani ni Waziri wa Ujenzi,Mh. John Magufulli,Waziri wa kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Sadick,Balozi wa Misri nnchini.
IMG_4477.jpg

Waziri wa Ujenzi,Mh. John Magufulli akihutubia leo wakati wa hafla ya utiliaji wa saini wa mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni ambao unatarajiwa kuanza siku yeyote kuanzia hivi sasa leo kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.Mkataba huo umesainiwa baina ya Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Wakandarasi kutoka nchini China ambao ni CHINA RAILWAY JIANGCHANG ENGINEERING CO. (T) LTD na MAJOR BRIDGE ENGINEERING CO. LTD.
IMG_4460.jpg

Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudencia Kabaka akihutubia katika hafla hiyo leo ambapo ametoa wito kwa wakazi wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi kuomba kazi za ujenzi huo wa mradi wa daraja la Kigamboni.
IMG_4435.jpg

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick akihutubia katika hafla hiyo.
IMG_4274.jpg

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii,Dkt. Ramadhan Dau akifafanua jambo wakati wa kutoa hotuba yake juu ya mradi wa ujenzi wa Daraja la Kigamboni unaotarajiwa kuanza hivi karibuni ambao utagharimu kiasi cha sh. Bilioni 214.6 na utachukua muda wa miezi 36.
IMG_4295.jpg

Mtaalamu wa Ujenzi wa Madaraja kutoka nchini Misri,Eng. Shwaibu akitoa maelekezo ya namna ujenzi huo utakavyokuwa.
IMG_4291.jpg

Mtendaji Mkuu wa Tanroads,Eng. Patrick Mfugale akitoa ufafanuzi wa namna waliovyoweza kufanya utafiti wa namna mradi huo utakavyofanyika na mpaka kufikia kumalizika.

IMG_4500.jpg

Picha ya mfano wa Daraja hilo la Kigamboni.

Picha na maelezo yake kwa hisani ya Othman Michuzi
[/QUOTE]
Huyu jamaa kaamua! Cheers bro!
 
....Craaaaaaaaaaaaap!!! :rant:


Jamani naomba mniwie radhi kwa kuharibu moods zenu lakini PCCB wanasema hivi kuhusu NSSF:


The least corrupt institutions are the National Social Security Fund (NSSF), Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) and the banking sector.

Source PCCB report page 13
....
 
Mkapa bridge 850m including 12km flood plain crossing with several relief bridges and huge embankment cost about 30m USD. Unity bridge 750m completed recently including 10km approach roads cost USD23m. Kigamboni bridge 600m though double width is too expensive at more than USD130m is too expensive. There are speculations of overpricing and this is only contract price which may vary significantly. It could end like BoT
 
The Total sum is Quit expensive, Please we need to look on what is behind!! Na Ukiona kazi ambayo ni sensitive anapewa Mchina Hapo Ujue Kuna Harufu ya Rushwa!! Jikumbushie Barabara ya Chalinze Hadi Kabuku 125km. Tabaka la lami lilipunguzwa ili faida ipatikane zaidi na hela zirudi Kuchagia kampeni!! Sasa Hapa Kigamboni sijui!!!
 
Back
Top Bottom