Dini zina lengo la kutuweka karibu na Mungu ili tuwe karibu na binadamu..!Tukiifanya kutuweka mbali na binadamu pia itatuweka mbali na Mungu...!just a PrecautionHuyu Hosea atakuwa anamtetea Muislam mwenzie Dau
haiwezekani kati ya mashirika yooote NSSF peke yake wawe mentioned kuwa wao ndio least corrupt!