hivi kuna possibility kuwa HOSEAH jina lake lingine likawa HUSSEIN?
Nilikuwa sijui kama Hosea wa PCCB naye ni muislam kama Dau wa NSSF
Tuseme ukweli, Dau ni mchumi mahiri na kiongozi mahiri.....hata tukilaumu kwa mitazamo ya kidini bado namkubali Dau. He deserves!
Mzito!