MrNSSF
Senior Member
- Mar 17, 2011
- 136
- 73
Jamani naomba mniwie radhi kwa kuharibu moods zenu lakini PCCB wanasema hivi kuhusu NSSF:
The least corrupt institutions are the National Social Security Fund (NSSF), Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) and the banking sector.
Source PCCB report page 13
lakini PCCB hawakuishia hapo waliamua kuendelea kwa kusema hivi:
The least corrupt institutions are the NSSF, PCCB and banking sector; these institutions are ranked as corrupt by only 28.7 percent, 29.6 percent and 36.7 percent of household respondents, respectively.
source PCCB report page 38
Looks like Dr Dau is doing something that Kimei of CRDB, Ndulu of BOT,Kitilya of TRA, Mahingila of BRELA, Erio of PPF are not doing.
Najua kuwa kila institution ni eunique lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Dr Dau ameprove kuwa centered leadership is a journey and not a destination, and it starts with a highly personal decision ambazo aliziweka pale NSSF alipoichukua from Mr Mkulo wakati kuo NPF.
Nakumbuka one of his words sometimes in 2006 aliwahi kusema kuwa tatizo la ma CEO wa Tanzania wa siku hizi wanazungumzia mambo ya changing the organization, changing the mind-sets and behavior za watu lakini Dau anasema kuwa transformation is not about that ila as for NSSF it started with his willingness and ability to transform himself. Only then will others transform.
By the way Dr Dau alisomeshwa na shirika la masoko la kariakoo enzi hizoooo....
The least corrupt institutions are the National Social Security Fund (NSSF), Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) and the banking sector.
Source PCCB report page 13
lakini PCCB hawakuishia hapo waliamua kuendelea kwa kusema hivi:
The least corrupt institutions are the NSSF, PCCB and banking sector; these institutions are ranked as corrupt by only 28.7 percent, 29.6 percent and 36.7 percent of household respondents, respectively.
source PCCB report page 38
Looks like Dr Dau is doing something that Kimei of CRDB, Ndulu of BOT,Kitilya of TRA, Mahingila of BRELA, Erio of PPF are not doing.
Najua kuwa kila institution ni eunique lakini ukweli unabaki pale pale kuwa Dr Dau ameprove kuwa centered leadership is a journey and not a destination, and it starts with a highly personal decision ambazo aliziweka pale NSSF alipoichukua from Mr Mkulo wakati kuo NPF.
Nakumbuka one of his words sometimes in 2006 aliwahi kusema kuwa tatizo la ma CEO wa Tanzania wa siku hizi wanazungumzia mambo ya changing the organization, changing the mind-sets and behavior za watu lakini Dau anasema kuwa transformation is not about that ila as for NSSF it started with his willingness and ability to transform himself. Only then will others transform.
By the way Dr Dau alisomeshwa na shirika la masoko la kariakoo enzi hizoooo....