PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

Na me uku dom Natoa GTA IV PES 17 NA COD MW2 NFS RIVALS WATCH DOGS PAMOJA NA TOMB RIDER FOR FREE
HII KWA FAMILIA YA GAMERS WENZANGU
J4 iliyopita nimetoka Dodoma Mkuu, anyway miezi ya mbele kidogo nitakutafuta Mkuu wangu, mimi nina COD MW 3. Kama una Black Ops 2 nambie....
 
Battlefield 1 ipo hapa bureee...njoo ujionee EA walivyo mkalisha COD

Sent from my SM-G906K using Tapatalk
Mkuu, za masiku? Hao EA nasikia ni wazuri sana, niliona trailer zao nikavutiwa nazo sana, akina Irisha n.k
 
Ha ha ha ha ha ha ha umenikumbusha Mkuu, hivi pale kumpiga ile Risasi zakhaev si alikuwepo na mnyama mmoja anaitwa 'Soap'?

Wale mbwa mimi nilikuwa kwa risasi tu, inabidi uwe makini sana kama ukitaka kuwaua kupitia kisu.
Yah alikuwa na Soap ndiye anayemsaidia kumbeba baada ya Capt Price kuangukiwa na ile ndege, dah yale ma dog bwana ni shida sana na kwenye hii ukimpiga risasi kuna kilio flani hivi anakitoa ikisha kuwa hivyo basi ni hatari wanakuja wengi kama mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha ha ha ha umenikumbusha Mkuu, hivi pale kumpiga ile Risasi zakhaev si alikuwepo na mnyama mmoja anaitwa 'Soap'?

Wale mbwa mimi nilikuwa kwa risasi tu, inabidi uwe makini sana kama ukitaka kuwaua kupitia kisu.
Mkuu hiz game bado unatoa bure?
 
Sasa angalia trailer ya battlefield 1 mzee af njoo uangalie ya ww2 cod..ni copy n paste ya battlefield 1...cod mwaka huu wamechemka...wakatoa infinite warfare wenzao battlefield 1 wakarud world war..haha hapo ndo bao lilipopigwa

Ikabd nao warud ww2 fasta ndio wanaipa promo saiz...narudia angalia trailer ya battlefield 1 mana najua hujaicheza..kisha njoo uone trailer ya ww2 cod ni copy n paste utaona..

Mimi binafsi cod ww2 naiita call of battlefield 1..na sasa hiv battlefield 1 inakula updates za map mpya kila leo..

Nmecheza cod zote jamaa wanajua ila hapa kati kat wmepotezwa na bf1..soma hata comments za trailer ya ww2 cod..ni full battlefield 1

Sent from my SM-G906K using Tapatalk
Nipe elimu ya hiyo Map.
 
im not pretty much sure kama cod wamecopy sana but hizi games zote na za vita vilivyookea zamani so lazma kuwe na ufanano flani ivi kwenye enviroment na vitu kama hivyo
also cod ww2 in zombies
me nakwambia hii cod ww2 itakuwa ni bonge la game
real gamers wanacheza cod series
Mkuu, promo pia zinachangia. Mfano ni XBOX na PS, PS zina promo saaana ila kiuhalisia sio nzuri kuliko Xbox.

Mimi sijacheza Battlefield kwa nikienda Youtube naona hii game ni habari nyingine. Nataka nitafute PC kwa ajili ya COD Black Ops 2 kisha hiyo Battlefield.
 
Mkuu, za masiku? Hao EA nasikia ni wazuri sana, niliona trailer zao nikavutiwa nazo sana, akina Irisha n.k
Hao wakina irish ni kweny battlefield 4

Jamaa wamecheza sana hio game...mission nzito sana...kuna warusi hatar humo ndan...moja ya best game ambayo nimecheza zaid ya mara tatu
 
Bro nmecheza cod zote...nawakubal sana jamaaa...

Ila hapa kweny bf1 ebwana bf wmetisha...ufanano uliotokea ni mkubwa sana ndio mana tunasema copy n paste....

I wish ningekupa bf1 ucheze alaf uniambie..the day naona trailer ya ww2 cod automatically naona ni bf1...anyway ngoja tuisubr tho hata trailer sio kal kam ya bf1 japo ni copy n paste

Unajua cod mim sijawapenda wanavyo switch to future..habar za kubooth sjui mara umepaa full drones..dah

Ndiomana kweny infinite warfare ndio game yeny dislikes nying...cod wabak tu ardhini huku huku tena sio future...

Ila still bf1 katisha sana..nmeicheza mara 3 hii game...yan kuna silaha hizo sio poa..na unajua battlefield hawabanagi silaha..yan ukitaka hata tanks unaendesha,magar unaendesha yan uko free sana....had ndege una amsha..kama umecheza battlefield 3 basi kuna f22 nafkil ile sio poa..na kweny bf1 unapewa ndege alaf unaanza kutungua bombers zilizopo angani..

Ngoja tuisubir iyo ww2 tuone itakuaje.
Hahahaha ile sio Raptor f22 ni f18 kama sikosei mkuu, ile Mission ni nzuri sana, niliiona Youtube.
 
Hahahaha ile sio Raptor f22 ni f18 kama sikosei mkuu, ile Mission ni nzuri sana, niliiona Youtube.
I gues so...yani ile mashine inawashwa chini pale na moto mkali sana...sasa juu kule ndo balaa....mission ngumu sana..ila nilitoboa nayo hahah..

Sent from my SM-G906K using Tapatalk
 
Wakuu me napenda game za gari na ndege. Gari Eurotruck na ndege bado sijapata, nilidownload moja bahat mbaya ikawa ya kucheza online, nilikuwa nataka ya offline.
Eurotruck simulator ninayo mkuu
 
Hao wakina irish ni kweny battlefield 4

Jamaa wamecheza sana hio game...mission nzito sana...kuna warusi hatar humo ndan...moja ya best game ambayo nimecheza zaid ya mara tatu
Nataka hizo Game na BF, unanisaidiaje Mkuu? Ila baada ya mda kidogo sababu natafuta PC.
 
Nipe elimu ya hiyo Map.
Hizi wanatoa kama patch nafkri kwa sisi wazee wa crack tuwe wapole kidogo..ila wenye premium wale nafkir had sasa tayar wana access na hizo map mpya..kuna update ya gb kama 4 walitoa mwez wa 7..na juz kuna update ya gb kama 6 nimeona wanatangaza...nitafuatilia
 
Ndio Mkuu ila kwa sasa sina Game nyingi sana, karibu!
Poa mkuu. Hizo ulizonazo zitanisaidia sana. Napenda sana game, ila zingine zilinishinda kucheza hasa kwa kutumia keyboard ya computer hasa la FiFa 14. Nilifungwa mpaka basi, mpira umeisha nishapigwa 7-0 nilichoka.
Hamna kitu kinachonihuzisha na kunikera km kushindwa kwenye game
 
Back
Top Bottom