PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

PC Game: Call Of Duty 4 Modern Warfare, Naitoa bureee!!!

hbr comrade! sasa hujasema tunaipata vipi. at least twambie sehemu ya kukupata. mimi kesho ntakuwa posta nambie ntakupata wapi au tunawasiliana kwa njia gani.
 
Hongera bro unaonekana una roho nzur sana ingependeza kama ungekuwa Barca fans ili ukichezesha hyo fifa 15 ufurahi zaid kwa maufundi ya MESSI ila yote kwa yote ntakutafta pc yangu ikipona
 
GuDume mimi nipo Posta chuo cha DIT.
 
Last edited by a moderator:
Hongera bro unaonekana una roho nzur sana ingependeza kama ungekuwa Barca fans ili ukichezesha hyo fifa 15 ufurahi zaid kwa maufundi ya MESSI ila yote kwa yote ntakutafta pc yangu ikipona

Huyu Messi sio Fifa 15 tuu, hata 14.
Nilikuwa nachezesha Fifa 14 ktk Manager Career, kuna Game ya Barca ligi ya Spain Messi alipiga Goli 4 ndani ya dakika 20 za nwanzo.
Na ktk Game settings mechi nimeweka ziwe dakika 5. Pata picha hizo Goli 4 ziliingiaje level ya World Class. Messi hatari sana.
 
Habari Wakuu!!!
Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha.
-Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF kila baada ya muda kadhaa, nilitoa Fifa 14 bure na sasa ninatoa Call of Duty 4. Sina namna ya kuanza kuielezea hii Game kwa mapana sababu sina kipaji cha kudadavua vitu kama hivi ila ni mchezaji hasa wa haya Magame ya Computer.
-Kwa wale ambao waliipata Fifa 14 wanaweza wakasema kama niliwacharge hata senti 5. Jamiiforums huwa inanisaidia sana nikiwa na shida mbalimbali kwahiyo na mimi nawasaidia wale ambao wanauhitaji wa hii Game. Fifa 15 Ipo njiani kuna kitu nataka nihakiki kwangu kwanza, nikifanikiwa nitaweka tangazo la kuigawa hapa bure bila malipo.

-Pia baada ya Call of Duty 4 nitakuja kugawa Game nyingine yenye ya Call of Duty yenye 13GB, Hatari saaaaaaana hii Game. Kaeni mkao wa kula.

-Kwa mawasiliano unaweza ni PM.

Mi nataka far cry mkuu
 
Mh hii game si ya 2008,sasa kuna game nzuri sana kama pc yako ina pumzi na developer ni haohao infinity ward hii ni call of duty advanced warfare,jamani hizi graphics really amazing its like reality hata gta v haioni.
 
Mh hii game si ya 2008,sasa kuna game nzuri sana kama pc yako ina pumzi na developer ni haohao infinity ward hii ni call of duty advanced warfare,jamani hizi graphics really amazing its like reality hata gta v haioni.

Ukiachana na Fifa 15 ambyo sasa hivi ndo nadownload, hakuna Game ninazozikubali kama Call Of Duty, hizi Game si mchezo.
 
nikija huko nakutafutaje ndugu yangu? game ina size gani ili nijue natakiwa nije na flash kubwa kias gani. angalau number ya simu ..ila kiukweli kwa sasa sina pesa ntashndwa kukupa ya vocha but am sure tutalindana tu siku zijazo maana ndo tunatengenez urafiki namna hii
 
nikija huko nakutafutaje ndugu yangu? game ina size gani ili nijue natakiwa nije na flash kubwa kias gani. angalau number ya simu ..ila kiukweli kwa sasa sina pesa ntashndwa kukupa ya vocha but am sure tutalindana tu siku zijazo maana ndo tunatengenez urafiki namna hii

Kwa Game hii ni 5GB, nipo Dar. Nipe wewe namba yako.
 
Habari Wakuu!!!
Kwa wale wapenzi wa PC Games, nina Call Of Duty 4 Modern Warfare naitoa bure bila malipo yoyote japo sikukatazi ukinipa hata ela ya vocha.
-Nitakuwa nazitoa hizi Game kwa WanaJF kila baada ya muda kadhaa, nilitoa Fifa 14 bure na sasa ninatoa Call of Duty 4. Sina namna ya kuanza kuielezea hii Game kwa mapana sababu sina kipaji cha kudadavua vitu kama hivi ila ni mchezaji hasa wa haya Magame ya Computer.
-Kwa wale ambao waliipata Fifa 14 wanaweza wakasema kama niliwacharge hata senti 5. Jamiiforums huwa inanisaidia sana nikiwa na shida mbalimbali kwahiyo na mimi nawasaidia wale ambao wanauhitaji wa hii Game. Fifa 15 Ipo njiani kuna kitu nataka nihakiki kwangu kwanza, nikifanikiwa nitaweka tangazo la kuigawa hapa bure bila malipo.

-Pia baada ya Call of Duty 4 nitakuja kugawa Game nyingine yenye ya Call of Duty yenye 13GB, Hatari saaaaaaana hii Game. Kaeni mkao wa kula.

-Kwa mawasiliano unaweza ni PM.
Mkuu nataka nianze na call of duty 1 au 2 km unayo.
 
Mkuu nataka nianze na call of duty 1 au 2 km unayo.

Hazijapangwa kwa mtiririko huo. Call of Duty ni ya kishamba. Call of Duty 2 ni black ops, balaa sana hii Black Ops.
 
Hazijapangwa kwa mtiririko huo. Call of Duty ni ya kishamba. Call of Duty 2 ni black ops, balaa sana hii Black Ops.

Nimejaribu ku download bt ilishindikana. Nitazipataje sasa hizi mkuu.
 
Back
Top Bottom