Hili tatizo sio kwa wema tu....ni mastar wengi Tz hawaingizi mkwanja kuendana na majina yao
Unajua kuna watu bado wapo gizani sana. Wema pesa anayo japo sio ambayo wengi tulitamani awe nayo ila inawezekana wema kashika pesa ambazo wengi wao hata maprofesa waliowafundisha wanasubiri kuzishika wakati wa pension.
Wema kachezea sana pesa na hajatumia kabisa jina lake vizuri kwenye kuingiza pesa na tatizo kubwa alikosa wasimamizi wazuri yeye alikuwa na wapambe.
Trust me utakufa ujafikia maisha ya Wema Sepetu.. the only thing unachoweza ni kumtukana mitandaoni kama hivi.