binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,981
- 22,561
Brand!!!! kama hana product endelevu ya kupeleka sokoni yenye demand kubwa ni kumpoteza maboya mtoto wa watu. Hana chochote cha kufanya zaidi ya uvideo vixen, photoshoot kutangaza brand za watu kwa malipo kiduchu labda sana na event appearance nazo kwa malipo kiduchu.
Nchi yetu bado ni masikini, hivyo hivyo na industry bado ni masikini sana, issues kama Gigs na showbize bado hazina pesa kiasi hicho, na kwa wasanii hakuna msanii anaweza kuja na bidhaa yenye brand yake akaipush sokoni ika-boom. Wapo akina Flavian matata baada ya uwekezaji mkubwa wanapush product zao zinatoka lakini sio kwa ukubwa huo.
Paula kutengeneza pesa hizo mnazomuaminisha kupitia jina kibongo bongo ni uongo, labda kutengeneza umaarufu ambao utampa "pesa madafu tu". Njia walizopita akina Kyle Jenner huku haziko applicable.
Nchi yetu bado ni masikini, hivyo hivyo na industry bado ni masikini sana, issues kama Gigs na showbize bado hazina pesa kiasi hicho, na kwa wasanii hakuna msanii anaweza kuja na bidhaa yenye brand yake akaipush sokoni ika-boom. Wapo akina Flavian matata baada ya uwekezaji mkubwa wanapush product zao zinatoka lakini sio kwa ukubwa huo.
Paula kutengeneza pesa hizo mnazomuaminisha kupitia jina kibongo bongo ni uongo, labda kutengeneza umaarufu ambao utampa "pesa madafu tu". Njia walizopita akina Kyle Jenner huku haziko applicable.