Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!
Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!

Umeziona za TBC na stori ya TRUMP na JPM ?

Hizo ni za viroba au Unga?
 
12/03/2017 .Kutoka kanisa la Ufufuo na Uzima. [HASHTAG]#BishopDr[/HASHTAG].Gwajima:

*"Pale Pamba Sekondari Daudi Albert BASHITE alikutana na msichana anaitwa Christina Spiriani Mgela Mayanja, mambo waliyoyafanya pale Pamba Sekondari ninayaweka akiba kwa siku zijazo"* [HASHTAG]#BishopDr[/HASHTAG].Gwajima:

*"huyu Chrispina Mgela Mayanja ni mhaya na alikuwa anasoma Sumve Sekondari na alikuwa na Mahusiano na Daudi Albert Bashite, huyu ndio alimpeleka kwa binamu yake Paul Christian Malanja ambaye walimchomolea vyeti ili vitumiwe na Daudi Albert BASHITE, baadaye wakaamua ku -apply chuo cha Fisheries cha Nyegezi Mwanza, na barua ya kuomba chuo Jina likabadilika, na hakuwa na uwezo wa kuandika barua na ikabidi andikiwe barua ya na Emilian Kabote na walipofika Chuoni walipokelewa na John Makene akiwa mkuu wa Chuo"*
[HASHTAG]#BishopDr[/HASHTAG].Gwajima: "Nikupe majina ya waliosoma Daudi Albert Bashite pale Nyanza Sekondari"

Wa kwanza anaitwa;

1. Mwanaidi Kamese - yupo hapa Dar
2. Ibrahim Malongo
3. Evod Mosha

Wapo wengi.
Albert Bashite ambaye baba yake alikuwa ni mwanajeshi...

Anaitwa Albert Bashite yupo mpaka leo yupo na vitambulisho vyake ninavyo

C&P
[HASHTAG]#BishopDr[/HASHTAG].Gwajima:

*"Alipomaliza Pamba Sekondari alikuwa Kondakta ya daladala limeandikwa ubavuni " Mungu Hana choyo, linatoka Sumve mpaka Buzurugwa, na dereva wa alikuwa anaitwa Albert Bonge"*
[HASHTAG]#BishopDr[/HASHTAG].Gwajima:

*"Makosa mengine ni kula kiapo chini ya uongo wa Jina akiapa kama Paul Christian Makonda wakati jina lake halisi ni Daudi Albert BASHITE, na adhabu yake ni kifungo cha miaka 3 jela*

*Kosa jingine ni kufunga ndoa kwa jina lisilo la kwake, ile ndoa aliyofunga kwa jina la Paul Christian Makonda ni batili na haipo,*

*Kosa jingine ni kupokea Pasi ya Kusafiria kwa jina la kughushi, ametoa taarifa za uongo na adhabu yake ni kifungo miaka 3*

*Ndio maana analia machozi. Anajua kimeumana.*

*Kosa jingine ni kutoa cheti cha kuzaliwa cha kufoji ili apate pasi ya kusafiria.*

*Ni nashangaa Polisi wamemuachaje BASHITE atoroke kwenda nchi za nje!*

*Nchi zote alizoingia ameingia kwa makosa ya kudanganya jina*

*Nani anatakiwa kumshitaki Paul (Daudi Albert BASHITE? ) ni Polisi na DPP, na ikishindikana basi anaweza kushitakiwa kwa Private Prosecution.*

*Ninawashangaa Polisi huyu BASHITE ametorokaje?"*
 
Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!

Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!
Povu toeni vyeti
 
Mkulu alisema yeye hajaribiwi, je hapo hajajaribiwa? Tena na aliyemsifia sana. Vyeo vya MUNGU mwanaadamu asijivike
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
Umbea hauna posho!
 
Haihitaji PhD kugundua jamaa anatumia cheti cha mtu mwengine..vitendo vyake tu vinadhihirisha Bashite ni kichwa maji
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
Hapa bavicha mnategemea kweli kupata mtaji wa kura kwa stori hizi za ushilawadu??
 
Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!

Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!

Wewe ndo una laana umesahau juzi ulikua unamtetea Rais aliyekataliwa na watu wa Gambia Jemy
 
hivi polisi wana double standard? kwanini hadi leo hawajamkamata atoe maelezo wakati mpiga kura masikini angefanya ivyo sasaivi angekuwa mahabusu ya polisi? mkuu wa nchi naye kwa ujanja wake wote wa kujifanya yeye msema kweli mpenzi wa Mungu hadi leo anapata kigugumizi kwa kijana mdogo kama yule tena asiyesoma shule alipata zerooooo? bashite basi ana nguvu ya ziada kufumba midomo hadi watu wote hao. hadi wa kuu wa nchi wanaaibika kwaajili ya kumlinda bashite...
Kuna mtu alisema watu waliweka kinyago sebuleni halafu wakakiogopa.
 
Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!

Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!
Ni kweli kabisa mkuu, nchi imevamiwa na kizazi cha waiba vyeti waliofunga ndoa kwa majina feki, walioapa uDC na uRC kwa majina feki. Kweli majanga.
 
Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba
humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!

Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!
Kwanini unaitukana TBC..

Kwanini unamtupia vijembe Daudi bashite?
 
Serikali haifanyii maamzi mambo yatokanayo na msukumo wa siasa tena upande ule hvyo wangekuwa na busara wangesema then wakakaa kimya lkn hii ya kupiga kelele makanisani ??? Mmmh !!! alie na ushahidi aende mahakamani kama mzee edo alivyokuwa akinena kuhs richmond kuwa alie na ushahidi aende kwa court lkn kupiga kelele tu humu rc hawezi kutumbuliwa,

Macho yenu hadi mtanyamaza tu , mda utasema yote
 
Lakini hata kama ni kweli, kwa nini Mkewe apate pressure, hayo mambo ya past relation ya mumewe yeye yanamhusu vipi.?sitaki kuamini kwamba mkewe alimaind kusikia hivyo.
Inaelekea mke amedanganywa vitu vingi na yeye pia sasa hivi ndiyo anaunganisha moja na moja.
 
Daah we acha tu rangi hazitofautiki tena sikiwahusu watu fulani fulani
Nimepata tetesi alienda kukutana na wafungwa wa tanzania walio kamatwa na sembe ivyo kama kunapunda wako huko alikamatwa ujiandae maana kaja na kalasi ya majina ya mabosi waliokua wanawatuma.
 
Back
Top Bottom