Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Mhhhhh watu wanashindwa kufanya ya msingi wanadiscuss ya mtu ambaye hana hata muda wa kusikia nini kinaongelewa na hamjui nani kamuweka hapo....fanyen kazi acheni hzo mambo watanzania...kisa kikuu madawa ya kulevya.....nchi ya wala unga...naogopa sana kumwona mtanzania anashabikia watanzania wenzie waharibikiwe....mnahitaji ukombozi mkuu.
Angekua hana muda wa kusikiliza angelia kanisani? Huyu jamaa huwa anavunja rekodi sana.

Mtu wa kwanza CCM kumpiga warioba hadharani. Mtu wa kwanza kufunga viatu vya riz1 hadharani. Mkuu wa mkoa wa kwanza kulia machozi hadharani. Kamzidi yule wa Morogoro alieishia kuomba tu msamaha.

Huyo ndo asiesikiliza kinachoongelewa juu yake.
 
Haturuhusu MTU kughushi vyeti wala hakuna anayetetea makosa kama hayo ndugu elewa hayo

Na kama kuna MTU ameghushi vyeti na mwajiri wake akalijua hilo sheria inafuata mkondo.
Nashukutu tumeelewana komredi.
Bashite akamatwe mara moja na kufunguliwa mashtaka ili fundisho kwa wenye tabia ksma hizi chafu na za kibazazi.
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
Mapya haya sasa
 
Yaani hizi akili ni mtihani!!
Mna tapatapa ajabu magazeti yalivyo na waandishi MAZERO
wanachukua habari za Viroba humu inakuwa ndio habari kuu!!
Ilikuwa likizo ya Miezi miwili!!
Leo Matapishi mengine!!!

Nchi imevamiwa na kizazi cha laana
kizazi kinacho shabikia upumbuvu!!!
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
huyo christina spiriani hajamloga kweli?hahahahaha. namwonea huruma huyo mwanamke tu, ila makonda sioni hata tone la huruma. asulubishwe tu.
 
Kuna Taarifa kwamba Mtuhumiwa hakuwa na lengo la kurudi; lakini punde baada ya mch. ngwajima kumuanika hadharani yule msichana wake Wa kwanza (mchumba Wa kwanza) ambaye alikuwa ameshamtamulisha kwao enzi hizo Kwa ahadi ya kumuoa (Christina spiriani). Kuwa huyu ndiye aliye msaidia kupata cheti cha kaka yake (Paul) ambacho walikitoa copy na kukitumia kuomba chuo huko Mwanza!
Na alipomaliza chuo akaamua kumwacha yule msichana wake aliyemsaidia na kupata mwanamke Mpya ambaye alifunga naye ndoa (feki) kwa jina (feki).
"MKEWE ILE JUMAPILI ALIVYOSIKIA HIVO UNAAMBIWA KAPANIKI SANA HADI JAMAA AKAAMUA KURUDI TOKA SOUTH"
Ni heri afukuzwe kazi tu kuliko Haya mateso anayo endelea kuyapata
 
hivi polisi wana double standard? kwanini hadi leo hawajamkamata atoe maelezo wakati mpiga kura masikini angefanya ivyo sasaivi angekuwa mahabusu ya polisi? mkuu wa nchi naye kwa ujanja wake wote wa kujifanya yeye msema kweli mpenzi wa Mungu hadi leo anapata kigugumizi kwa kijana mdogo kama yule tena asiyesoma shule alipata zerooooo? bashite basi ana nguvu ya ziada kufumba midomo hadi watu wote hao. hadi wa kuu wa nchi wanaaibika kwaajili ya kumlinda bashite...
 
Back
Top Bottom