Hiyo issue ni kweli,kuhusu kutembea na mdogo wake Paul christian malanja ambaye ni mtangazaji wa Voice of Tabora,kipindi Daudi bashite anaenda kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa beach ya kanisa la AIC bwiru ambapo alitoa MILIONI 80 huyo kijana Paul Malanja alipigia hadi simu ndugu zake Mwanza wakaonane na Bashite wamuombe amsaidie kwani kamsahau na kijana kapigika,ndugu zake walikataa maana story nzima wanaijua toka anaomba cheti akajiunge polisi(HAKUNUA CHETI,ALIPEWA NA SHEMEJI KIMSAADA)lakini toka alivyomtupa kaka mtu na familia iliyomsaidia huku wakisikia jinsi anavyohonga machangu wa Bongo movie ilikuwa inawauma sana ile familia.
Alipotoka hapo akaenda Dodoma yule kijana akatoka Tabora hadi Dodoma kumfata Bashite na hakupata msaada wowote
kuna time pia zamani daudi aliwahi kwenda mwanza kijana huyo paul Malanja akamfata na kuishia kulipiwa malazi ya week moja DELUXE HOTEL ya sh 10,000 kwa siku huku akiwa hana hata hela ya kula na kuishia kusumbua ndugu zake
Sasa baada ya haya mambo kubumburuka cha kushangaza huyo PAUL CHRISTIAN MALANJA anawaambia ndugu zake kwamba hakumpa cheti bashite na hajui lolote kuhusu suala hilo tena anakuwa mkali kabisa
Nafikiri unaweza kujua ni nini tayari ambacho kimekwishafanyika.