Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Paul Makonda arejea nchini kimya kimya

Utakuwaje Graduate ikiwa form four umezungusha??Inakuaje unazungusha halafu uwe GRADUATE labda Chuo Cha CCM
Ame graduate baada ya kusoma kozi ngazi ya certificate na diploma.

Mfumo ambao baadhi ya watz wamepitia ukiondoa wale tuliopitia A level moja kwa moja kwenda Kuchukua shahada
 
Ame graduate baada ya kusoma kozi ngazi ya certificate na diploma.

Mfumo ambao baadhi ya watz wamepitia ukiondoa wale tuliopitia A level moja kwa moja kwenda Kuchukua shahada
Ni Bashite
 
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.
Naomba Wanajamii tumuunge mkono Mh.Makonda na kampong eza kwa kazi nzuri na yahatari ambayo anaifanya.
HAPA SIELEWI MAANA YAKE
5d15d01a5945951377962c8adef317fc.jpg
 
Hataenda tena, nchi zimejua kwamba haitwi Makonda, asije akashikwa huko nje
 
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.
Naomba Wanajamii tumuunge mkono Mh.Makonda na kampong eza kwa kazi nzuri na yahatari ambayo anaifanya.

Hata siku moja Mungu hatumii wachafu kuokoa jamii ispokua tu kwanza kama watatubu na wabadilike ndipo awatumie
 
Jamani niliwahi kusikia kutoka kwa mkulu mmoja kuwa KWA WATUMISHI WOTE WA SILIKARI HAKUNA RUHUSA YA KWENDA NG'AMBO VIPI KWA MR BASHITE HAPO INAKAA VIPI?
 
Mhhhhh watu wanashindwa kufanya ya msingi wanadiscuss ya mtu ambaye hana hata muda wa kusikia nini kinaongelewa na hamjui nani kamuweka hapo....fanyen kazi acheni hzo mambo watanzania...kisa kikuu madawa ya kulevya.....nchi ya wala unga...naogopa sana kumwona mtanzania anashabikia watanzania wenzie waharibikiwe....mnahitaji ukombozi mkuu.
 
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.
Naomba Wanajamii tumuunge mkono Mh.Makonda na kampong eza kwa kazi nzuri na yahatari ambayo anaifanya.

Basi kawa wewe waona hilo basi nchi itangaze kuwa hakuna haja ya kuwa na vyeti na si kosa la jinai kugushi vyeti ieleweke moja. Nmegundua kumbe kuna unafiki sana hapa kwetu kuhusu elimu. Taifa linajifanya kujali elimu na kuomba misaada kuboresha elimu wakati huo huo kumbe elimu siyo ishu kama tunavyoona kinachoendelea na watu mnavyotetea mtu kughushi vyeti
 
Kunasiku jamii itazama kwa kusubili watu wenye kazi yao waje wawaokoe wakati huo watu wenye kuwaokoa wapo mi nasema Makonda ni moja ya waokoaji wasio na ujuzi lakini ameokoa watu wengi sana ambao tungesubiri watalaamu jamii ingeendelea kuzama.
Naomba Wanajamii tumuunge mkono Mh.Makonda na kampong eza kwa kazi nzuri na yahatari ambayo anaifanya.
Ameokoaje ? , kawaokoa kina Nani ? Kazi nzuri aliyoifanya ni ipi ? Hatari ya hiyo kazi nzuri unaipimaje ? Kwa nini kazi iwe nzuri na hatari ?
 
Mwacheni MH afanyie watanzania Kazi,hayo mambo ya vyeti yanawahusu zaidi waajiri wake.

Acheni politiki za kijinga. Kazi Gani wakati kamisheni imeundwa ?
Tuache kufanyisha watu mitihani wapimwe kwa ksxi nzuri
Fanyeni hiyo kuwa sera kabisaaaa
 
Ame graduate baada ya kusoma kozi ngazi ya certificate na diploma.

Mfumo ambao baadhi ya watz wamepitia ukiondoa wale tuliopitia A level moja kwa moja kwenda Kuchukua shahada
Hakuna mfumo WA kutumia Chet cha MTU mwingine cha form four kuanza certificate TZ
Weka mifano mingine ukiacha Paulo alias Daudi
 
Back
Top Bottom