Paul Makonda amefanikiwa kuiweka CCM katika mioyo na midomo ya Watanzania

Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767
Upo sahihi kabisa!!

Hiyo namba unayoweka hapo wameshaichukua ni tayari!! Achana nayo unakera pamoja na hoja zako nzuri
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767
we dogo lazima una mtindio
 
Ww ndio desclipine master humu jf dogo? Ama unadhani Yale matusi unayotukana wasio upande wako hayafahamiki? Tulia ww, kumsifia muhalifu yenyewe ni zaidi ya matusi.
Weka hapa ushahidi wa hayo matusi ambayo nimewahi kutukana humu jukwaani. Usipende kuchafua majina ya watu wakati huna ushahidi wa aina yoyote ile.
 
Nakuonaga mkongwe humu lakini unakuwaga na mambo ya kichoko!!

Kwanini usijadili hoja??? Wewe ni changu la Kipemba

Niweke kwenye ignore list yako maana utaishia kuteseka. Huyo Joyce wowowo ni muhalifu kama wahalifu wengine.
 
Weka hapa ushahidi wa hayo matusi ambayo nimewahi kutukana humu jukwaani. Usipende kuchafua majina ya watu wakati huna ushahidi wa aina yoyote ile.

Nikuwekee ushahidi ww kama nani? Anzisha jukwaa lako tufuate utakacho, humu tunachangia tutakavyo, na ukileta habari za muhalifu jiandae kutapika nyongo.
 
Nikuwekee ushahidi ww kama nani? Anzisha jukwaa lako tufuate utakacho, humu tunachangia tutakavyo, na ukileta habari za muhalifu jiandae kutapika nyongo.
Hili ni jukwaa lenye heshima yake .unatakiwa uandike na kuweka vitu ulivyo na ushahidi navyo
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767
Akili za kimasikini
 
Back
Top Bottom