Paul Makonda afunguka

Paul Makonda afunguka

Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.

Makonda v/s Lowasa ni sawa na willbaro v/s catapila, mdogo sana kwa Lowasa kila kitu, siouwezo, fedha, umuri, fikra, ukomavu n.k, sana Makonda anataka kupanda chati kupitia lowasa.
 
Ili

mngeondoa bendera ya taifa wakati mnavalishana viatu.Msitudhalilishie nchi yetu.

Wasengelenyuma Sana hawa jamaa, wamegeuza nchi ya kwao mazafanta kabisa hawa. Mi naenda kujiunga na wale jamaa kwenye mapango ya amboni nipambane kukomboa nchi yangu kudadadeki nina hasira kama nimemwagiwa maji ya battery. Huyu Rizimoko mwakani lazima tumle, aulize mtoto wa Ghadafi watu walimla kwanza ndio wakamuua
 
Hiki ndicho kilichompatia koda huyu mfunga viatu u DC
 

Attachments

  • 1424423541553.jpg
    1424423541553.jpg
    20.9 KB · Views: 344
Ni aibu tubwa kuwa hawa vijana wanapewa majukumu makubwa kama haya huku wakiwa hawana historia yoyote na uongozi kabla na tena yenye uadilifu... na sidhani kama ni njia nzuri ya kupata viongozi wa kutumikia watanzania kwenye sekta mbalimbali...

ila kwa sababu anakwenda kufanya kazi ya ukada JK naona amelipa fadhila kama kawaida yake..

October 2015 itabidi tujitafakari tena tunataka Tanzania nyenye mwelekeo gani na ni mtu gani anafaa kuongoza nchii hii...

Ila nakiri kusema sitamkumbuka JK kwa lolote katika nchi hiiii...
 
Mambo ya Msingi; kama katiba Makonda hawezi kuyalinda, sasa atawezaje kuwatumikia watanzania wa Kinondoni; hebu angalia Katiba ya TAHLISO, aliifanyaje mpaka yeye kama waziri mkuu akagombea Urais, wakati katiba ilikuwa hairuhusu?

yoyote atakayepata jibu naomba anipe ili tuendelee na shuhuda za mengine
 
Mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amefunguka na kutoa ya moyoni kuhusiana na shutuma kadhaa anazorushiwa kufuatia uteuzi wake.

Akizungumza na gazeti la Tanzania Daima Msemaji huyo wa Chipukizi wa UVCCM anesema ni kweli yasemwayo kwamba anatumika kumzima Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa anayetarajiwa kuomba uteuzi wa kugombea urais kupitia CCM.

""Hivi kati ya anayetumika kukibomoa chama na yule anayetumika kukiimarisha ni yupi ana Faida?....vijana ndiyo walinzi wa chama na sitakubali kiharibiwe na watu wachache wenye masilahi ya madaraka""" Alinukuliwa Makonda akisema

Source : Tanzania daima.
Jina Halali ni KONDA WA VIATU
 
Back
Top Bottom