Samsoni na GOLIATI, lazima LOWASSA atakaa tu kwa dogo, ufisadi wake utamtokea puani.
Mkuu, usilinganishe enzi hizo na siku hizi za majanga. Kipindi unachoongelea mtu alikuwa akifanya kosa anapigwa adhabu muda huo huo, hata manabii na viongozi walikuwa wakimwomba Mungu anawasiliza na kutenda miujiza muda huo huo kwa sababu hawakuwa wanafiki na hawakuwa na dhambi. Kwa sasa hao wanaompinga mwenzao nao ni wa nafanya hivyo kwa maslahi binafsi na sio ya taifa, kuna kitu kinaogopwa hapo; aidha, sina uhakika kama linapokuja swala la ufisadi ni wasafi kwa kiasi gani !!!