Sana sana anatafuta namna ya kujishawishi mwenyewe on his evil motives huko Rwanda za kuwa life president, what more democratic practical evidence anahitaji kwenye kipindi hiki cha campaign za uchaguzi ambapo vyama vya siasa vipo huru kujitangaza na kufanya mikutano yao bila ya vitisho, kuwataka wapiga kura wao wajitokeze na kila aina ya uhuru.
What he is confusing ni kwamba Rwanda is not a democracy nor Burundi those are just authoritarian regimes the election process is just to serve the constitution requirement. In that process other party campaign are not free if not just acts of performance to demonstrate democracy and very limited room to mobilizing support; with non existence positive air time or campaign rallies.
This guy would not know democracy even if its happening right next door to him, he has a different meaning to it, sasa hivi angekuwa keshafunga watu, wakati UKAWA are all over freely.