KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,334
Kama kweli huyu bwana PK aliongea hivi, binafsi ni nchi za jirani R na B wanasubiri kwa hamu kujua kama kweli Chama Kaka kikishindwa kitakabidhi madaraka kwa chama mbadala ama ndo watatumia bao la mkono kuhalalisha ushindi wao katika uchaguzi huu!
Kiujumla nchi zote za jirani zinafuatilia kwa makini saana uchaguzi huu wa tanzania kwa sasa! Na pengine ni fursa sasa kwa vyombo vyetu vya habari kama startv, itv na hata tbc kueleza habazi za kweli kwa nini kinachotokea.
Mkuu nikweli kabisa pia nchi wafadhili wapo makini pia vyombo vya habari vimeisha nunuliwa na CCM hakuna kitu kinachoweza kuelezwa kwa uwazi!