Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Paul Kagame kulihutubia Taifa leo

Yaani inasikisha kumbe hata issue yenyewe huijui imeanzia wapi wawezaje kusema TZ ndio wachokozi???Wewe pia ni mnyarwanda japo umeishi sana TZ tena kwa raha mustarehe hizo ndio shukurani za punda mateke ama kweli Karibu mbaya.
subiri wiki mbili ziishe hawa wanyaru watakoma na akijidanganya leo kuisema mbovu nchi yetu badala ya wiki mbili itakua 24hours.
 
Ngoja tusubiri yule Mtu Mwembamba atakapounguruma nyikani kwake!
 
TV bongo zimezubaa mno
hii ingepashwa rushwa live....
 
JE waujua usemi wa wahenga usemao "mdharau mwiba mguu humuota tende"?. Tafakari...
Wewe hujui unachosema mwambie aliazishe basi, mimi nilikuwa JKT 1987/1988 kisha nienda JWTZ 5 years tena kwenye vikosi nyeti unavyovisikia nchi hii silaha zote najua kuzitumia hadi dakika hii niko uraiani naendelea na maisha kwa hili la Kagame nitaenda frontline tena nakuhakikishia hiyo wilaya ni siku moja tu kesho yake tunakunywa chai kigali,hutaki subiri matokeo.
 
lazima kagame atajibu alichoelezea kikwete maana ni askari na psychology ya askari na ubabe na vita.

anataka kujitutumua lkn akumbuke wapo wengi wa aina yake waliishia pabaya kwa tabia hiyo hiyo ya ubabe, mfano: Gadafi, Sadam, pinoched, idd amin na wengine wengi.

namshauri kikwete awe na uvumilivu lakini yakimshinda ajibu vikali ikibidi tufunge dipolimasia nao na kwa jinsi hiyo East african community itakuwa imekaribia kuzikwa kwa mara ya pili.

Nilishauri tangu awali East African Community isiwahusise hawa jamaa tubaki kama tulivyokuwa ili tuendelee kuakis maana ya jina lenyewe hamkunisikiliza, sasa yanakaribia kutimia.
 
karwanda kadogo lkn nimepata habari wana silaha za kuangamiza dar kwa nusu saa...
I understand they have an APACHE HELICOPTER which can be a nightmare to our infantry man.All in all come what may Tanzania will win the war.
JE waujua usemi wa wahenga usemao "mdharau mwiba mguu humuota tende"?. Tafakari...
Unaikumbuka Sultani wa Zanzibar na Jeshi lake lilishawahi kuwadi*** Jeshi wa Mwingireza lakini walifyata ndani ya dk 40 Mzinga iliyoelekezwa Jengo la Sultani lilitosha kumshikisha adabu na akawekwa mwingine.
  • Rwanda silaha zake kazipitisha hapa hapa Tanzania.
  • Rwanda kachezea Misitu ya Congo na Uganda, kwa hiyo kuiwasha moto si kazi ngumu,
  • Rwanda keshaonekana na ndege za Italia anavyojihusisha na M23
  • Rwanda keshamulikwa na Obama ni kutafutiwa kisa kidogo tu
  • Rwanda atatafutwa na The Hague muda si mrefu, kwani imebaki ni sababu tu, aichokoze nchi yetu tummwagie madudu yake anayoyafanya kwani kuna mashahidi kibao wakiwemo Wahutu walivyouawa na kufungwa.
  • Rwanda tulikataa wasiweke Mahakama kwao kwa ajili ya Kagame Jumuiya za Kimataifa zikaweka Arusha.
Ndugu yako atafyatuliwa hapo Kigali ndani ya dk 15 na ndege zisizo na rubanizikitokea Tanzania na asijue tumesaidiwa na nani.
images
Mpe salamu zake na hotuba nzuri tunaisubiri la sivyo leo ndio mwanzo wa KITANZI chake
 
tunasubiri updates - kwahio ni saa 2 usiku huku tz
Ni saa 1 usiku kwa saa za Rwanda mkuu. Hawa moderators wana mambo ya kipuuzi sana. Lakini kwa sasa nimesharudi hewani kuwapa taarifa.
 
F.Kaiza:nivema akatumia busara katika hotuba yake hekima ni jambo jema kuliko kituchochote si amesikia hotuba ya JK
 
Back
Top Bottom