lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,200
- 28,081
Tuweke kando kuhusu kama ni dikteta au sio.Cha ajabu unamuita Kagame dikteta wakati Muzungu mwenyewe aliyekufundisha hata kutamka neno dikteta anamkumbatia P.Kagame, P.Kagame ndiye Mwafrika pekee Dunia hii ambaye Muzungu anasikiliza, sasa sijui utakwenda kushitaki wapi na kwa nani atawasikiliza?
Kwahiyo kama mzungu anamkubali na kumkumbatia ndio iwazuie wengine kuona au kusema ubaya wake?
Akili za lumumba hizi.