Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,725
- 3,795
Kwa sababu kule kuna kiongozi mkuu wa himaya, na kwa jinsi jamaa alivyo mbishi ni lazima atakuwa Kambi ya upinzani.Sasa sijajua atakuwa kiongozi wa malaika wa kambi ipi...kambi rasmi ya malaika ama kambi pinzani ya malaika Mbinuni!
