Paul Kagame huyu huku!

Paul Kagame huyu huku!

Ila PK mjanja sana, yaani ameshindwa hata kwenda na rafiki yake huko Ughaibuni angalau tupate uzoefu. Exposure muhimu jamani, yaani mtu umezungukwa na maCEOs unadhani Rwanda tutawakuta kiuchumi??Thubutu yetu😀😀😀😀😀
 
Ila PK mjanja sana, yaani ameshindwa hata kwenda na rafiki yake huko Ughaibuni angalau tupate uzoefu. Exposure muhimu jamani, yaani mtu umezungukwa na maCEOs unadhani Rwanda tutawakuta kiuchumi??Thubutu yetu😀😀😀😀😀


Nilifikri P.Kagame ni dikteta!
 
PHOTOSHOP KABISA HIYOOO...SASA RAIS WETU AENDE KUSIMAMA NA WATU WADOGO KIASI HICHO!!!
 
Tatizo la Lumumba mkiona mnazidiwa hoja mnabadili mada.

Wazungu wanafaidika na madini ya DRC kupitia kwa dikteta Kagame, leta hoja kupinga au kukataa siyo kukimbilia ya Kimambi.


Ndo nimekwambia mtakimbilia wapi sasa kushitaki? Kwa maana chadema hukimbilia kwa Muzungu kushitaki sasa Muzungu mwenyewe hana mpango na ninyi, ssa mtakimbilia wapi?
 
Nilifikri P.Kagame ni dikteta!
Hapo sijazungumzia udikteta, hapo nimezungumzia issue za kiuchumi, Biashara na uwekezaji ambapo Watanzania tumelala. Tusipokuwa na mazingira wezeshi tutawakimbiza wawekezaji waliopo pamoja na kuto attract new Investors, jambo ambalo si afya kwa uchumi wetu kama nchi na Mtu mmoja mmoja. Kagame ameamua kutupiga bao, ameanza kwenye utalii wakati sisi Watanzania tumelala usingizi wa Pono😎😎😎😎
 
Hapo sijazungumzia udikteta, hapo nimezungumzia issue za kiuchumi, Biashara na uwekezaji ambapo Watanzania tumelala. Tusipokuwa na mazingira wezeshi tutawakimbiza wawekezaji waliopo pamoja na kuto attract new Investors, jambo ambalo si afya kwa uchumi wetu kama nchi na Mtu mmoja mmoja. Kagame ameamua kutupiga bao, ameanza kwenye utalii wakati sisi Watanzania tumelala usingizi wa Pono😎😎😎😎
Haya mambo anayaweza Jk tu, hapo ungeona yupo katikati na kicheko kibao.
Missing you ''mswahili'', ''mtu wa watu'','' master wa siasa'' na ''king wa utawala bora' '
 
Back
Top Bottom