Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 60,104
- 71,146
Wa SiasaNI MALAYA.
Wa SiasaNI MALAYA.
Tena hao hatuwataki kabisa hata kuwaona CDMJames Mbowe na Yericko wamechanganyikiwa na hawaelewi kushoto wala kulia.Desperates!
Sahihi kabisa, vingine ni vyama pandikiziTuwe wakweli, Tanzania chama cha upinzani ni kimoja tu, CHADEMA.
Atapokelewa na mamakoNinakiamuru CHADEMA kimpokee Yericko Nyerere bila masharti muda wowote atakapopenda kurudi.
Welcome sirAliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
- Patrick Assenga ajutia kuondoka CHADEMA, amlaumu Boniface Jacob kwa kutokusema ukweli mapema. Amuomba Mungu ampe ujasiri
Ok, sasa nini kilimkengeua! Msiwaweke kwenye vyeo, wawe wanachama kama mimi!Alikuwa diwani wa Tabata na Mjumbe wa Mkutano Mkuu
Sasa tunasubiri kumpokea mw.kiti wa alipo kuwa pamoja na mw.kiti bosi wao kwani naye anaelekea kutambua haki ni msingi wa amaniAliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
- Patrick Assenga ajutia kuondoka CHADEMA, amlaumu Boniface Jacob kwa kutokusema ukweli mapema. Amuomba Mungu ampe ujasiri
Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi watakatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Gentleman tuliza mihemko🐒nani mwenye ubavu wa kumkataa pale chadema kwa mfano kamanda?
na kulivyo na ombwe la uongozi na ukosefu wa agenda,
kuna mtu anaweza kukataliwa kujiunga chadema kweli?
ikitokea,
basi itakua ni unafiki wa kiwango cha juu mno.![]()
Gentleman,Gentleman tuliza mihemko🐒

Chadema wanashindwa nini kusajili wanachama wapya kwenye mikutano yao inayojaza wafuasi wengi,Ok, sasa nini kilimkengeua! Msiwaweke kwenye vyeo, wawe wanachama kama mimi!
Hawa ng'ombe wana brucela ni wakupiga shoka nakuchimbia tu.Ijapokuwa ng'ombe wengi waliopotea watarudi zizini, lakini wanaporudi watakatwa mikia ikiwa ni alama muhimu ya kuwatambua.
Kwa sifa zipi ulizonazo,unadhani unafaa kuwa ni miongoni mwa wasaili watu wanaorejea chadema?Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Project ya chauma imeshamalizika, tajiri hatoi pesa tenaKwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Ndio maana nimeomba mkiniona nafaa nipeni nafasiKwa sifa zipi ulizonazo,unadhani unafaa kuwa ni miongoni mwa wasaili watu wanaorejea chadema?
Mission imefeli so ni kuangalia namna ya kurud CDM, hawa kuku wawe wanachama wa kawaida tuAliyekuwa Kada wa CHAUMMA, Patrick Assenga ametangaza kukihama chama hicho na kurejea Chama CHADEMA ambacho kimsingi ni chama alichokitumikia kwa miaka mingi kabla ya kuhama hapo
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo, Jumanne Mei 26.2026, Assenga amesema maamuzi ya kurejea CHADEMA yamekuja baada ya tafakuri ya kina ambayo ameifanya na kujiridhisha pasipo na shaka kwamba CHAUMMA haina mwelekeo na dhamira ya kweli ya kuiondoa CCM madarakani, badala yake amebaini kuwa CHADEMA ndio chama pekee cha siasa chenye dhamira ya kweli kwa Watanzania na kinachoweza kuiondoa CCM madarakani na kushika Dola
Kupitia mkutano huo na Wanahabari, Assenga amewaomba radhi viongozi wa ngazi mbalimbali wa CHADEMA, wanachama na Watanzania kwa ujumla wake kwa maamuzi aliyokuwa ameyachukua hapo awali ya kukihama chama hicho, akiamini kwamba maamuzi hayo aliyafanya bila kutafakari kwa kina.
Pia soma
Patrick Assenga avuliwa Uanachama CHADEMA
- Patrick Assenga ajutia kuondoka CHADEMA, amlaumu Boniface Jacob kwa kutokusema ukweli mapema. Amuomba Mungu ampe ujasiri