😂😂😂😂Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Hawa wa kaskazini hununulika kirahisi sanaWapokeeni, lakini msiwaamini. Wapuuzi.
James Mbowe na Yericko wamechanganyikiwa na hawaelewi kushoto wala kulia.Desperates!Unaweza sema wasipewe ya ndani lakini wakayapata kupitia kwa walio ndani .Hawa watu walikuwa wote wakifanya siasa muda mrefu.
Mfno. Yule anayeitwa mtt wa mbowe anaizungumzia chadema kama nani?
Wapuuzi takatakaWapokeeni ila msiwaamini! Ni wapuuzi.
Asenga alikuwa na wadhifa gani?Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
Kwa nini iwe marejeo CHADEMA na si kuendelea na safari hadi CCM au NLD?Ninakiamuru CHADEMA kimpokee Yericko Nyerere bila masharti muda wowote atakapopenda kurudi.
Na mimi waniweke🙂Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo
project ya kuhujumu cdm imegeuka kuwa turning point ya chama. Wamefeli sana hawa waliobeba uwakala wa sheitwani. Huwezi shindana na mpango wa Mungu, kamwe. Walikubali kutumika kiboya sana.Wapokeeni, lakini msiwaamini. Wapuuzi.
Alikuwa diwani wa Tabata na Mjumbe wa Mkutano MkuuAsenga alikuwa na wadhifa gani?
Wakisoma komenti yako hao "matipii" wataishiwa pawa.Kuweni makini na hao matapeli .
Ikiwezekana wawakatae..Kama mbaya iwe mbaya.Haiwezekani watu waliondoka na kuinyeshea taasisi mvua ya matusi halafu baada ya muda mfupi wajifanye wamestaarabika.Chadema kiwe Malini sana na hii rejeq rejea.
Kesi ya mbatia na kundi la kina selasini likaawe mfano kwao.
NI MALAYA.Wapuuzi takataka
Wote hao pamoja na Salum Mwalimu wapokelewe lakini baada ya kupata fimbo mbili za matakoni kila mmoja.Kwa hali ya sasa na kwa namna ya Wasaliti wanavyopiga Magoti kwa CHADEMA kuna haja ya kuanzisha kitengo maalum cha dharula cha usaili wa Wasaliti
Ningeomba pia niwe miongoni mwa Wajumbe wa Kamati hiyo