Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #141
For whose records mkuu? Ulisomaga Patrice Lumumba?For the records
For whose records mkuu? Ulisomaga Patrice Lumumba?For the records
Hata MIE mwenyewe nimesoma hichi chuo mkuu. Wale wanaojua mitro bilyaeva, IKEA na ashan supermarket tulipokuwa tunaemea atanijua. Pia club maarufu pale centre ya Moscow tukisafiri na underground train aka metroBaadhi ya watanzania waliosoma pale ni akina nani?
Hujajibu swali mkuu. Swali limeuliza hivi "Baadhi ya watanzania waliosoma pale ni akina nani?"Hata MIE mwenyewe nimesoma hichi chuo mkuu. Wale wanaojua mitro bilyaeva, IKEA na ashan supermarket tulipokuwa tunaemea atanijua. Pia club maarufu pale centre ya Moscow tukisafiri na underground train aka metro
Akina MIE hapa nilisoma hapa piaHujajibu swali mkuu. Swali limeuliza hivi "Baadhi ya watanzania waliosoma pale ni akina nani?"
Hiyo "mie" uliiandika kwa CAPITAL LETTERS nikadhania labda ni abbreviation ya neno fulani refu.Akina MIE hapa nilisoma hapa pia
Unayosema ni kweli Mara nyingi ni wazee ndio wanaofundisha chuoni hapo mkuu. Kuna vibibi na vizee umri imeenda sana. Vijana ni wachache sana mkuu kiukweli. Muda wakati nasoma pale kuna muda Hugo Chavez alitembelea pale chuoni wakatafsiri kwa kirusi na English pia. Nachokumbuka ni kuwa hata waafrika mnaosoma hapa yabidi mje kurudi nchini kwenu ili kuzijenga nchi zenu. Kiukweli ilitolewa lecture ya kijamaa,kikomunisti na ya mlengo Wa kuliaHiyo "mie" uliiandika kwa CAPITAL LETTERS nikadhania labda ni abbreviation ya neno fulani refu.
Sasa nimekuelewa mzee baba.
Mpaka Hugo Chavez alikuka aisee wako vizuri sana@Unayosema ni kweli Mara nyingi ni wazee ndio wanaofundisha chuoni hapo mkuu. Kuna vibibi na vizee umri imeenda sana. Vijana ni wachache sana mkuu kiukweli. Muda wakati nasoma pale kuna muda Hugo Chavez alitembelea pale chuoni wakatafsiri kwa kirusi na English pia.
Hivi unajua Hugo wa Venezuela naye alikuwa ni communist-minded leader?Mpaka Hugo Chavez alikuka aisee wako vizuri sana@
mkuu upo sahihi. hakika afrika yapaswa kujengwa na waafrika wenyewe. the same applies to Tanzania.Nachokumbuka ni kuwa hata waafrika mnaosoma hapa yabidi mje kurudi nchini kwenu ili kuzijenga nchi zenu. Kiukweli ilitolewa lecture ya kijamaa,kikomunisti na ya mlengo Wa kulia
Hao ndio USSR wajamaa waliotukukaUnayosema ni kweli Mara nyingi ni wazee ndio wanaofundisha chuoni hapo mkuu. Kuna vibibi na vizee umri imeenda sana. Vijana ni wachache sana mkuu kiukweli. Muda wakati nasoma pale kuna muda Hugo Chavez alitembelea pale chuoni wakatafsiri kwa kirusi na English pia. Nachokumbuka ni kuwa hata waafrika mnaosoma hapa yabidi mje kurudi nchini kwenu ili kuzijenga nchi zenu. Kiukweli ilitolewa lecture ya kijamaa,kikomunisti na ya mlengo Wa kulia
PoaKabisa mkuu.
Usisahau na China mkuu. Wao pia walikuwa ni wajamaa haswaaHao ndio USSR wajamaa waliotukuka
China walikuwa ni communist state na sio wajamaaUsisahau na China mkuu. Wao pia walikuwa ni wajamaa haswaa
Beautiful Nkosazana njoo hukuYuko wapi Beautiful nkosazana?
Hao ndio USSR wajamaa waliotukuka
Naona hataki kuja!
Beautiful Nkosazana njoo huku
Is he still alive?mwalimu wangu mzee wa Development Economics pale SAUT
Akina nani hao ni "Plunders" ndugu yangu?Nowadays ni Plunders wakubwa
Mwalimu nani huyo mzee??Hata mwalimu wangu mzee wa Development Economics pale SAUT naye kapiga Patrice Lumumba, I enjoyed his lectures.