pangalashaba JF-Expert Member Jan 10, 2011 1,275 1,509 Mar 11, 2011 #2 lazima ilikuwa wapo sehemu ya matumizi wakatibuana. kama siyo bwana basi waliazimana nguo.
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,373 Mar 11, 2011 #3 :A S-coffee: wamesutana wakachoka wakaanza ngumi duh
Kaizer Platinum Member Sep 16, 2008 25,320 17,822 Mar 11, 2011 #4 hili balaaa hapo naona ni kuvuana nguo kabisa...
G geophysics JF-Expert Member Nov 1, 2010 904 166 Mar 11, 2011 #5 Na usiombe kukutana na ugomvi wa wa dada......Ni kuumbuana kwa kuvuana nguo na kwenda mbele...Hatari hii
Na usiombe kukutana na ugomvi wa wa dada......Ni kuumbuana kwa kuvuana nguo na kwenda mbele...Hatari hii
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Mar 11, 2011 #6 Huwa napenda sana kina dada wakibongo wakizichapa kavukavu!
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Mar 11, 2011 #7 Wadada wanapiganaga au wanashkana shkana tu.
doup JF-Expert Member Feb 26, 2009 2,344 2,150 Mar 11, 2011 #8 mabaunsa hapo kwao ni raha tupu; kupiga chabo
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Mar 11, 2011 #9 Laaaaana hii mambo gani haya hadharani namna hii!!!
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Mar 11, 2011 #10 Hahah hii picha hawa wadada walikuwa wanagombania bwana kazi ipo lol
minda JF-Expert Member Oct 2, 2009 1,068 65 Mar 11, 2011 #11 FirstLady1 said: :A S-coffee: wamesutana wakachoka wakaanza ngumi duh Click to expand... baada ya kupombeka bila shaka
FirstLady1 said: :A S-coffee: wamesutana wakachoka wakaanza ngumi duh Click to expand... baada ya kupombeka bila shaka
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Mar 11, 2011 #12 Ooops mpe credit mange bwana, umeiba picha u-turn.
drphone JF-Expert Member Sep 29, 2009 3,542 281 Mar 11, 2011 #13 wangekuwa wanaume mabaunsa wangeshatunisha misuli ila hapo wanakula chabo tu
Mpasuajipu JF-Expert Member Oct 22, 2010 836 49 Mar 11, 2011 #14 Mwenye suruali imesha vuka kazi imerahisishwa hapo!
Hassan J. Mosoka JF-Expert Member Oct 26, 2010 682 323 Mar 11, 2011 #16 Hii Picha nimeiona kwa Mange ikiwa na maelezo kuwa hawa wadada ni wabongo waishio New York eti wamekosana kisha hakiuelezwa
Hii Picha nimeiona kwa Mange ikiwa na maelezo kuwa hawa wadada ni wabongo waishio New York eti wamekosana kisha hakiuelezwa
Mzee wa Rula JF-Expert Member Oct 6, 2010 8,171 3,346 Mar 11, 2011 #17 Kumbe wanaume dili hadi watu watwangane au ni majungu nini ya kike sijui!!!!!!!
Chapakazi JF-Expert Member Apr 19, 2009 2,874 310 Mar 11, 2011 #18 hawa waende ultimatesurrender.com. hahaha
Mpagama Senior Member Jan 9, 2011 127 7 Mar 11, 2011 #19 Mpasuajipu said: Mwenye suruali imesha vuka kazi imerahisishwa hapo! Click to expand... Kazi gani imerahisishwa hapo wakati hakuna amani?
Mpasuajipu said: Mwenye suruali imesha vuka kazi imerahisishwa hapo! Click to expand... Kazi gani imerahisishwa hapo wakati hakuna amani?