Patashika nguo kuchanika - Kina dada

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
DSC00746.jpg
 
lazima ilikuwa wapo sehemu ya matumizi wakatibuana. kama siyo bwana basi waliazimana nguo.
 
Na usiombe kukutana na ugomvi wa wa dada......Ni kuumbuana kwa kuvuana nguo na kwenda mbele...Hatari hii
 
wangekuwa wanaume mabaunsa wangeshatunisha misuli ila hapo wanakula chabo tu
 
Hii Picha nimeiona kwa Mange ikiwa na maelezo kuwa hawa wadada ni wabongo waishio New York eti wamekosana kisha hakiuelezwa
 
Back
Top Bottom