Ha ha ha... Umenichekesha...kidogonipaliwe, eti vumbi la NY lina adabu, tehe. Ila kweli utamkuta mtu bongo kiatu hukijui rangi yake, kudadadekiLipo lakini lina adabu sio kama la bongo th! th! th! :lol::lol::lol::lol:
jamani mbona huo mkono unaojaribu kuwapatanisha ni wa kiume lakini chini anaonekana kavaa skuna?
...Halafu hawa wanaonekana watu wa vulumani tu angalau kila mtu amevaa kiugomvi si unamuona huyo mwenye gauni hiyo chupi sijui ni likaptula angalau kujihakikishia usalama.:angry:hili balaaa hapo naona ni kuvuana nguo kabisa...