Habari za leo wakuu.
Ninasumbuliwa na tonses(mafindofindo kooni)iliyoambatana na homa kali na kizunguzungu siku ya nne leo.Jana nimeenda hospitali nikapewa dawa ambazo nimeanza kumeza.kinachonishangaza ni kuwa bado nina homa kali na kizunguzungu.naomba ushauri wenu wakuu,nini tatizo?
Ninasumbuliwa na tonses(mafindofindo kooni)iliyoambatana na homa kali na kizunguzungu siku ya nne leo.Jana nimeenda hospitali nikapewa dawa ambazo nimeanza kumeza.kinachonishangaza ni kuwa bado nina homa kali na kizunguzungu.naomba ushauri wenu wakuu,nini tatizo?