stevhinoz
JF-Expert Member
- Jun 15, 2021
- 216
- 480
Katika ukuaji wangu sikuwa naugua ugonjwa wa tonsils mara kwa mara ilikuwa inatokea kwa nadra sana.
Miaka mitano nyuma nilikuwa kikazi ukanda wa nyanda za juu kusini kikazi ndio ugonjwa wa tonsils ukawa ni kama ugonjwa wangu wa kudumu.
Nikinywa kitu chochote cha baridi baada ya dakika tano ugonjwa unaanza.
Hapa nilipo sinywi kitu chochote cha baridi kwa miaka zaidi ya mitatu na nikijaribu iwe soda, maji, juice, ice cream au chochote kesho yake nalala ndani kwa homa kali.
Nimekuwa natumia antibiotics kutibu tonsil lakini naona nitakunywa hizi dawa mpaka lini? Nitaacha kunywa/kula vitu vya baridi mpaka lini?
Naomba mwenye kufahamu tiba ya kudumu inapopatikana iwe hospital au kienyeji anisaidie nimalize ili tatizo, naamini kuna watu walishapitia hali kama yangu na sasa washasahau hii dhahma. Au kuna wenye utaalam wa tiba wanaweza nisaidia ushauri.
Natanguliza shukrani
Miaka mitano nyuma nilikuwa kikazi ukanda wa nyanda za juu kusini kikazi ndio ugonjwa wa tonsils ukawa ni kama ugonjwa wangu wa kudumu.
Nikinywa kitu chochote cha baridi baada ya dakika tano ugonjwa unaanza.
Hapa nilipo sinywi kitu chochote cha baridi kwa miaka zaidi ya mitatu na nikijaribu iwe soda, maji, juice, ice cream au chochote kesho yake nalala ndani kwa homa kali.
Nimekuwa natumia antibiotics kutibu tonsil lakini naona nitakunywa hizi dawa mpaka lini? Nitaacha kunywa/kula vitu vya baridi mpaka lini?
Naomba mwenye kufahamu tiba ya kudumu inapopatikana iwe hospital au kienyeji anisaidie nimalize ili tatizo, naamini kuna watu walishapitia hali kama yangu na sasa washasahau hii dhahma. Au kuna wenye utaalam wa tiba wanaweza nisaidia ushauri.
Natanguliza shukrani