sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,503
- 839
- Thread starter
- #261
Chora nasi sasa kwa gharama nafuu
Hizo ndio ramani?Pata ramani nzuri na za kisasa zaidi
Kwa wachoraji waliobobea katika maswala ya uchoraji ramani na ujenzi pia tutakupa ushauri kuhusu maswala ya ramani na ujenzi kwa ujumla
Mawasiliano :0678195114
Email: sirajimsilanga55@gmail.com
View attachment 1855279View attachment 1855281View attachment 1855282
SUPER!
Gharama ya ramani hii na muhuri ni shilingi ngapi?Karibuni sana wakuu kwa ramani nzuri na bei nafuuView attachment 1855505View attachment 1855508
Kumbe bei ndogo hivi?300,000 boss karibu sana
Labda sielewi vizuri, lakini hizi picha hazina ule uoto na uasili, uasilia na uhalisia wa kwetu, yaani hapa Tanzania, naona kama ni KUKOPI NA KUPESTI! Sijui wajuzi wengine mnasemaje!? Jamani tuwe realistic inapo kuja kwenye mambo nyeti!Chora na jenga nasi kwa gharama nafuu
View attachment 1855306View attachment 1855307View attachment 1855308
Nimependa hii,ina vyumba vingapi
Haka hapa kakoje ndani na ni bei gani?Chora nasi kwa gharama nafuu sasa
View attachment 1861511
MNATISHA! Toka kitu hicho hapo juu hadi hiki! Keep it up guys. Nawakubali sana ila bei sasa!Chora nasi kwa gharama nafuu
Piga 0678195114
E-mail: sirajimsilanga55@gmail.comView attachment 1878230
Hellow,Chora nasi kwa gharama nafuu sasa
View attachment 1963726
Asante sana, je bei yake ni kiasi gani hivyo kilivyo na je kwa paa la kawaida ni shilingi ngapi?Hii ni vyumba viwili vyote master
Sebule
Dining
Jiko
Store na
Public toilet
Ramani ni 200,000 mihuri pamoja na makadirio ya ujenzi
Karibu sana mkuu
Ok...350,000 boss karibu sana
Hii nayo Raman Eeeeeeh???
Mmhh..vyumba vingi sanaChini vyumba viwili master,sebule,dining,jiko,store,laundry na public toilet
Juu vyumba vitatu vyote master na balcony.
Ukubwa?Chora nasi kwa gharama nafuu sasa
View attachment 1991811
Haka kanakaa kwenye sqm ngapi?Chora nasi sasa kwa gharama nafuu
View attachment 1990981
Huwa ni ndefu, I first saw them kikashangaaZile za kule KATORO na GEITA nani huwa anawachorea?
kuna mmoja anaweka picha na anasema kuwa chumba kila vyumba vingapi na detail kadhaa hyo pia naona ni vyema ukaongezaChora nasi kwa gharama nafuu
Piga 0689993661
0766195115
0673195114
Email: sirajimsilanga55@gmail.comView attachment 2136432