sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,497
- 836
- Thread starter
- #241
Chora nasi kwa gharama nafuu sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni vyumba vitatu
Msingi gharama yake maximum ni 3,900,000 gharama hii inaweza kuongezeka au kupungua kutokana na eneo lako.
Nashukuru kwa mawazo yako mkuu karibu sanahahahahahaha
hizi nyumba fancy fancy zitakuwa msingi mil 4 ?
unajua bro, unaweza kufukuza biashara kwa kudhani unavutia biashara…. kwa kuonekana muongo
-ufundi
-vyuma vya mikanda
-mawe mekundu ya jamvi( sio ubuyu)
-zege la jamvi ( la kokoto nyeusi)
-nondo za columns ( lazima zichimbiwe kwenye msingi, so ni sehemu ya gharama za msingi)
- mimbao flat ile 1 X 8 ya kufungia mikanda
-kifusi au mchanga wa soil replacement (kuna viwanja vingine LAZIMA unaondoa udongo/mfinyanzi) wote unamwaga mchanga…)
- na makorokoro mengine kibaaaaooo
kamba, misumari, maji, ndoo, makarai, chepe, trucking (ukinunua cement huoewi lori bure kama mchanga au mawe), kukodi vibrator, kibolo, mixer, duuuuuu
eeeeh… mafundi wa kibongo unawanunulia mpaka nyundo…. Maji ya bajeti ya kujengea wao wakimaliza wanafulia, wanakogea,
MILIONI NNE ?????
Johhny please!