Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,437
- 3,258
Tufike mahala tuwe wanachama hai,itapendeza sana kila mwanachama akachangia japo 30000/=.
mkuu tabora?
seconded RitzMkuu Mike McKee,
Hili JF isonge mbele kuna umuhimu hawa Verified user na wale wote wanaoweka picha zao kuchangia JF.
Wengi wao wapo humu kujitangaza kisiasa na kikazi.
Cc.. chama,
Kila kitu bongo kodi..Kodi ni ngapi hapo Serikali itapata! ni lazima hii kitu ipewe mstari wa Mbele la sivyo mtakuja undiwa Zengwe Kubwa
Ni taadhari tu nimetoa kwani Kodi la lazima huwezi sema ni kitu kidogo mkuu... ndio sheria tulizojitungia no mjadalaKila kitu bongo kodi..
zitumike kwa namna sawia basi
Ndugu yangu palalisote, nakutania usimind...teh teh teh.haya bana umeniweza.
Utaratibu ni mzuri ila mtakuwa hamuwatendei haki na kuwanyonya members ambao kila kukicha lazima wadrop realable information at the same time nyie mnazichukua na kuwatumia watu ili mpate fedha.
Wekeni angalau motisha kidogo hata kwa zile fedha zinazopatikana kwa njia ya matangazo kama tiGO n.k kwa wale wanaooneka kuwa active katka kutuma post zenye kuaminika kwa mda fulani kwan naamin bila wao JF is nothing
Kodi ni ngapi hapo Serikali itapata! ni lazima hii kitu ipewe mstari wa Mbele la sivyo mtakuja undiwa Zengwe Kubwa
wekeni TIGO PESA tujiunge
Moderators .....
Nimeona na nitalipa....willingly na kuwatumia reference .....tupo pamoja kuchangia JF toka enzi hizo haina hata adverts na tunaendelea...tena Tanzanite membership ...bila ya kuwa Haja kutu black wash Kila tunapo Log In ...maana Siku hizi Kila ninao log in Nashangaa natolewa....that's is not fair kabisa....unless you explain otherwise ...was about to Quit!!!!
will send you reference later ...
Ponera Hamy D kashalipia ya kwake.Nilivyoona elfu 30 kwa tanzanite member niliona nitashindwa kumudu kwa kipato changu (nilizani kwa mwezi) kumbe mwaka mzima, sasa hivi nitakuwa tanzanite member, hata hamy D NTAMLIPIA
SijapingaNi taadhari tu nimetoa kwani Kodi la lazima huwezi sema ni kitu kidogo mkuu... ndio sheria tulizojitungia no mjadala