Fidia ya Tsh. Bilioni 75 iliyolipwa na Serikali kwa Winshear Gold Corp ingeweza kununua Mashine 83 za CT-Scan

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
1697698029406.png
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maana hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
 
Sasa hata tukianza kulaumiana sahivi muhusika ameshafariki aliyefanya hivyo ila hatujui pia kuendelea kuwaachia leseni pengine wangepata zaidi ya hizo billioni kiharamu..

Muhimu watendaji na viongozi wa Serikali wawe wazalendo na wafanye maamuzi yenye kuikomboa taifa zaidi..
 
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maania hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
Tuna CT Scan Kila Mkoa ,hizo zingine zingewekwa wapi na za nini?

Mwisho waliotufikosha hapa wako kibao na pia nashangaa watu kushadidia bil.75 wakati Serikali imelipa mabilioni zaidi ya hayo huko symbion,kukomboa ndege nk
 
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maania hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
WALIOSABABISHA UPUUZI HUU WAPO NA WANAENDELEA KULIPWA MSHAHARA, WAKATI YULE MFANYAKAZI WA MKULAZI ANAYESEMEKANA ALIIBA VIFAA VYA KIWANDA AMESHAPIGWA RISASI NA KUUAWA.
 
Sasa hata tukianza kulaumiana sahivi muhusika ameshafariki aliyefanya hivyo ila hatujui pia kuendelea kuwaachia leseni pengibe wangepata zaidi ya hizo billioni kiharamu..
Muhimu watendaji na viongozi wa serikali wawe wazalenda na wafanye maamuzi yenye kuikomboa taifa zaidi..
Mambo ya kumalizana pembeni (nje ya mahakama).

Vipi kama kesi mahakamani tungeshinda?
Bila kujali yupo au hayupo?
 
Sasa hata tukianza kulaumiana sahivi muhusika ameshafariki aliyefanya hivyo ila hatujui pia kuendelea kuwaachia leseni pengibe wangepata zaidi ya hizo billioni kiharamu..
Muhimu watendaji na viongozi wa serikali wawe wazalenda na wafanye maamuzi yenye kuikomboa taifa zaidi..
Kwani ndiye aliyeliingiza taifa kwenye mkataba huo wa wizi?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Tuna CT Scan Kila Mkoa ,hizo zingine zingewekwa wapi na za nini?

Mwisho waliotufikosha hapa wako kibao na pia nashangaa watu kushadidia bil.75 wakati Serikali imelipa mabilioni zaidi ya hayo huko symbion,kukomboa ndege nk
Aiseee...!!!
Mwamba sasa ndo na-conclude WEWE AKILI ZAKO ZINA HITIRAFU..!!
 
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maania hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
Wakati wengi tunaunga mkono juhudi za kuzuia kushitakiwa nchi
 
Tuna CT Scan Kila Mkoa ,hizo zingine zingewekwa wapi na za nini?

Mwisho waliotufikosha hapa wako kibao na pia nashangaa watu kushadidia bil.75 wakati Serikali imelipa mabilioni zaidi ya hayo huko symbion,kukomboa ndege nk
Tuna Machine kila mkoa! Lakini MOI ina mashine moja inayohudumia zaidi ya watu 400 kwa siku, mashine moja inatumia zaidi ya nusu saa kupima mtu mmoja! Just logic sio majibu tu ya kisiasa. Mkoa una hospitali moja?
 
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maania hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
Wakati wengi tunaunga mkono juhudi za kuzuia kushitakiwa na wawekezaji halafu unakuta watu eti wanaidhinisha kulipwa wawekezaji ambao hawajawekeza dola mil 30. Kwa mpango wa kuwalipa hawa wawekezaji feki kwa nini kushitaki serikali isiwe ndio uwekezaji wao? Tujiulize kwanza kwa nini hiyo kampuni ilifutiwa leseni? Kwenye hayo maelezo hakuna popote tunaambiwa kwa nini walifutiwa leseni. Itakua bila shaka ni kukiuka masharti.
Utakuta eti serikali wanasema tusipolipa tutakosa wawekezaji. Kwa mtindo huu tutapata walanguzi tu wenye kujifanya kutaka kuwekeza kumbe kutupiga hela kwamba tumewafukuza.
Tunataka serikalu hii waache uhuni kuwalipa wababaishaji wenye nia ya kulikamua taifa wakijua kuna washiriki wa mipango yao serikalini. Tujiulize kwa nini hawakuja na madai wakati wa awamu ya tano.
 
Serikali kupitia kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali imethibitisha kuilipa kampuni ya Winshear Gold fidia ya Tsh. Bilioni 75 baada ya kukamilika kwa mazungumzo ya kumaliza Mggoro nje ya Mahakama.

Chanzo cha mgogoro huo ni uamuzi wa Serikali wa mwaka 2017 kuifutia kampuni hiyo leseni ya uendeshaji wa mradi wa uchimbaji Dhahabu wa SMP ambapo kampuni hiyo haikukubaliana na uamuzi huo. Mwaka 2020 ilifungua kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchini Uingereza ikiwakilishwa na kampuni ya uwakili ya Lalive.

PESA ILIYOLIPWA INGEWEZA KUTEKELEZA MIRADI IFUATAYO KWA ZAIDI YA ASILILIMIA 100%

Kiasi cha fedha kilicholipwa kwa kampuni ya Winshear Gold ni kikubwa kuliko Bajeti za Wizara hizi za mwaka 2023/24:
  • Utamaduni, Sanaa na Michezo - Tsh. 35,445,041,000
  • Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira - Tsh. Bilioni 54.1
  • Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum - Tsh. Bilioni 74.2
Kwa maana hiyo, Fedha zilizolipwa kwa kampuni hiyo zingewezesha upatikanaji wa moja kati ya huduma hizi muhimu.

1. Zahanati - 267 (Gharama ya Zahanati moja Tsh. Milioni 280).
2. Vituo vya Afya - 65 (Gharama ya Kituo kimoja Tsh. Bilioni. 1.15).
3. Magari ya kubeba Wagonjwa - 250 (Gari moja Tsh. Milioni 300) kila Mkoa ungepata Magari 9.
4. Madarasa - 3,750 (Darasa moja Tsh. Milioni 20).
5. Madawati - Milioni 2.5 (Dawati moja Tsh. 30,000).
6. Vipimo vya CT Scan - 83 (Mashine moja Tsh. Milioni 900).
7. Visima Vifupi vya Maji - 25,000 - 75,000 (Kisima kimoja ni kati ya Tsh. Milioni 1 hadi Milioni 3 kutegemea na eneo).
8. Mkopo wa Elimu ya Juu - Wanafunzi 18,750 (Kila Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza angepata 100% Tsh. Milioni 4).
9. Pembejeo za Kilimo - Mifuko 6,250,000 ya Mbegu za Mahindi 6,250,000 (Mfuko mmoja Tsh. 12,000).
Hata kwenye kununua hizo tungepigwa tu, tungeambiwa kila moja m180/=
 
Ni lwa nini wasizitumie zile fedha zilizoko kwenye Akaunti ya Plea Bargain kuwalipa hao Wazungu?
 
Sasa hata tukianza kulaumiana sahivi muhusika ameshafariki aliyefanya hivyo ila hatujui pia kuendelea kuwaachia leseni pengine wangepata zaidi ya hizo billioni kiharamu..

Muhimu watendaji na viongozi wa Serikali wawe wazalendo na wafanye maamuzi yenye kuikomboa taifa zaidi..
Kila mwaka tunaimba uzalendo hivi wew ukiwaangalia unaweza hata kumpoint mzalendo hata mmoja kati yao???
 
Mambo ya kumalizana pembeni (nje ya mahakama).

Vipi kama kesi mahakamani tungeshinda?
Bila kujali yupo au hayupo?
Kama ishu imemalizwa nje ya mahakama, hapo ni dili watu wamecheza........hii nchi ni kama haina mwenyewe.
 
Back
Top Bottom