Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Mkuu nimeshakuunga. Njoo pm tumalizane
Mkuu cjapata mbona cheki kama namba uliyounga ni sahihi naweza kktumia hata screen capture ya bandle langu nililounga mwenyewe ndio nalotumia au ww nitumie screen capture ya uthihitisho wa kuunga namba hii 0764 876 888 nikulipe. au ni2mie namba yako
 
Asanteni Wadau Wangu. Hadi Sasa Hakuna Aliyekuja Na Lalamiko La Kutopewa Huduma Kama Alitoa Pesa. Nawakaribisha Tena Kwa Anaehitaji Njoo Pm Kwa buku Tatu Tuu Unapata 4GB ya Voda wiki Nzima.
 
Asanteni Wadau Wangu. Hadi Sasa Hakuna Aliyekuja Na Lalamiko La Kutopewa Huduma Kama Alitoa Pesa. Nawakaribisha Tena Kwa Anaehitaji Njoo Pm Kwa buku Tatu Tuu Unapata 4GB ya Voda wiki Nzima.
Pm inagoma mkuu
 
Acha ubishi ww sio wote wanaopata 5gb kuna wengine wanapata 3gb(tena kwa siku tano) wengine 1.5gb......inategemea na zari la mtu.....hiyo offer inaitwa "Ya kwako Tu"

6861cba9c422319dfea6da9264ff9db1.jpg

Of course
 
Mbona waliopata huduma hawajitokezi kushuhudia hii neema?
 
Hakuna biashara ifanyikayo pm kwani ni usiri km hiko halali.
Sasa wewe ungependa kuweka namba yako ya simu hapa adharani?
Ukifanya hivyo kuna faida gani kutumia jina bandia?
 
Nyang'au tu wewe tena mzembe uliyepitiliza
MSAHADA MKUUU!!! jinsiya Ku Root huawei y3II lua L21 ina android 5.1 nime download king Root nika Root ikifikia kwenye asilimia 30% ina ji ristat nikitumia kingoroot ina gom naomba msahada mkuuuu
 
Nyang'au tu wewe tena mzembe uliyepitiliza
MSAHADA MKUUU!!! jinsiya Ku Root huawei y3II lua L21 ina android 5.1 nime download king Root nika Root ikifikia kwenye asilimia 30% ina ji ristat nikitumia kingoroot ina gom naomba msahada mkuuuu
 
Msije mkadanganywa wakuu voda kuna offer nyingi tu ambazo si rasmi mfano unaweza pata GB 5 kwa mwezi mzima ukitoa sh 2000/= tu na offer nyenginezo pigeni hii namba hapa
*149*03# na hii ni kwa line zote si lazima uwe na voda ya chuo
mkuu ebu tuelekeze hiyo ya 2000 gb5...
 
mkuu mimi sina pesa lakini naitaji hii huduma... ukinikopesha itakuwa vizuri pia...
 
Back
Top Bottom