Unajiungaje Mkuu inawezekana mimi na Watu wote humu hatujui Hilo. Tutoe ushamba Tafadhari.Huu uzi bado upo kumbe...jamaa atakuwa kachuma sana
Kuna kitu katika uchumi wanaita ignorance of price ambapo wameitaja kama sababu moja wapo utofautinaji wa bei kwa mnunuzi, wanasema sometimes mtu huuziwa kitu kwa bei kubwa kutokana na yeye kutojua bei vzr na ndilo naloliona hapa
Ndgu yetu anauza 4Gb kwa wiki/3000tsh wakat voda wao wanakupa 5Gb kwa 2000/mwezi
Kwa ufupi ni
Voda
Jiunge cha mwezi kila wiki utapata 20Gb kwa 8000tsh
Kwa huyu ndgu yetu
Jiunge cha wiki kila wiki utapata 16Gb kwa 12,000tsh
Price ignorance hupelekea mtu kupita njia anayoenda kukutana na tatizo analolikimbia(bei kubwa)
Sijawahi lipwa kabla ya huduma. Ulini inbox Tar 3 -01-2018 na nlikwambia Unipe Namba Haukunipa, Ulitaka Nikuunge Kwenye Nini ??? Hujanipa hata sh.10 Unalete Unafiki Tu...Lete SMS ya Mpesa Hapa Unayosema Ulinitumia Juzi. Wewe peke ako unalalamika Mbona Hakuna Anaelalamika Au Wao ndio cjawaibia? Kajipange Upya.hawa ni matapeli wakuu majuzi kati nilimlipa hiyo 3000tshs hadi leo sijaonaga hiyo huduma pazeni sauti zenu kwa haya matapeli
Unajiungaje Mkuu inawezekana mimi na Watu wote humu hatujui Hilo. Tutoe ushamba Tafadhari.
sio kila anaekwambia umuunganiahe bhasi hana hyo huduma,wengine wanazo ila hawajui so hapa nililenga wenye nayo ila hawajuihawajui kama wana huduma hiyo,hata mimi sikuwa najua kama nina huduma hii so nikawa nahangaika na airtel ila baadae kuna mtu akanifahamisha juu ya hii offer maalum na ile ya university offer na nilipojalibu nilifanikiwa maana line ilikuwa na huduma zote ila sikuwa najuaUwe unasoma Post Nzima Na Comments za Watu. Hilo Limesemwa Humu. Siyo Kila Mtu Anayo Hiyo Ofa.