Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Haya sasa nakupa na hii namba jaribu kwa voda yako mkuu utaleta mrejesho hii hapa
*149*03# kisha chagua ofa unayoitaka ila USISAHAU KULETA MREJESHO
f970154440691073c2e58f0b67b7c6cb.jpg
 
Kheri Ya Mwaka 18' !!! Mwanzo Wa Mwezi Ndio huu, Nina Airtime Yakutosha Voda Naunganisha 4GB Wiki Nzima Kwa Bei Chee 3000/= Tu. Sasa Wewe Ukiona buku Tatu ni Kubwa na Unahisi Utaibiwa Basi endelea Kutumia Buku Kwa Internet Kila Siku. Njoo Pm Kama Unahitaji. Sipo Kwenye System na Wala Sina Shida na Namba Yako (Business Only) .Changamka Kama UtahitajiView attachment 667120
Hakuna biashara ifanyikayo pm kwani ni usiri km hiko halali.
 
Hakuna biashara ifanyikayo pm kwani ni usiri km hiko halali.
Weka namba yako basi hata hapa nikuunge. Haina haja ya kuja Pm kama unaweza weka namba yako hapa
 
Hata mimi naona siyo yakuiwazia, ila nina uhakika wewe umeiwaza kwa kina. Ukiwapata watu mia kwa siku kwa mwaka mmoja tu huhitaji kuwa kwe system yoyote duniani. Kwani utakuwa umekamilisha lengo kuu.
 
Huyo Jamaa nampa 60% ya Kazi Yake Anakufanyia Kazi Kwanza Alafu malipo Baadae Cyo Jamaa Mmoja Yeye Anakwambia Nakuungia Line Ya Chuo Na MaliMali ufanye kabla ya Kazi
 
Mkuu hakuna mzembe humu. Ndio maana nikaelezea vizuri tuu kama Utahisi Buku Tatu Yako Itaibiwa Basi Kausha. Tatizo Waswahili Mnakosea Padogo Sana. Sometimes Ni Kheri Kujaribu Kuliko Kukata Tamaa. Elfu Tatu ni Kubwa Lakini Siyo ela Ya kuiwazia Kiasi hicho.
Kama hutoweza kuiwazia buku 3, hata buku 30 hutoithamini ndugu.
 
Hata mimi naona siyo yakuiwazia, ila nina uhakika wewe umeiwaza kwa kina. Ukiwapata watu mia kwa siku kwa mwaka mmoja tu huhitaji kuwa kwe system yoyote duniani. Kwani utakuwa umekamilisha lengo kuu.
Hesabu tu mkuu,watu wanacheza na akili zetu ili waishi mjini.nachojiuliza huu uzi una masaa zaidi ya matano na kuna ambao waliandika hapa kwamba wanamfuata jamaa Pm sasa muda huo wote hata mmoja kuleta feedback hamna?why!!!
 
Mkuu hii line yako ya chuo au?mbona me hizi offer sizipati,unafanyaje fanyaje?
Mkuu wala sio ya chuo mkuu ila kama jamaa walivyonirekebisha hapo juu kiwa hizi ofa ni kwa mtu na mtu sasa nadhani yakwangu ofa zake ni hizo hapo
 
Back
Top Bottom