mtoto1980
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 534
- 526
Unga na mimi aiseeTapeli... Tushawezeshwa na mtu mmoja humu ndani universt ofa tena si intenet tu hadi dakika sms za kutosha majibi ya kutosha huo msaada kawafanyie tigo
Unga na mimi aiseeTapeli... Tushawezeshwa na mtu mmoja humu ndani universt ofa tena si intenet tu hadi dakika sms za kutosha majibi ya kutosha huo msaada kawafanyie tigo
Nyang'au tu wewe tena mzembe uliyepitilizaMkuu hakuna mzembe humu. Ndio maana nikaelezea vizuri tuu kama Utahisi Buku Tatu Yako Itaibiwa Basi Kausha. Tatizo Waswahili Mnakosea Padogo Sana. Sometimes Ni Kheri Kujaribu Kuliko Kukata Tamaa. Elfu Tatu ni Kubwa Lakini Siyo ela Ya kuiwazia Kiasi hicho.
Hata Huyo Aliekuwezesha Hauku Muamini Hadi Alipokuwezesha. Waachie wengine basi Na wao Wajaribu Wakiamini Watakupa MrejeshoTapeli... Tushawezeshwa na mtu mmoja humu ndani universt ofa tena si intenet tu hadi dakika sms za kutosha majibi ya kutosha huo msaada kawafanyie tigo
Unawezesha mtandao gani?Karibu sana mkuu
Ngoja nije pm unipe offer hyo Ikiwa sawa ntarudi jamvini kutoa ushuhudaHakuna Mjinga Hapa Boss. Karibu Pia na Siwezi Kukuita Mjinga. Unaweza Ukawa mteja wangu Mzuri Tuu
Nalipa baada ya kupewa huduma?Voda mkuu
Nakuja inbox tuyajengeNdiyo Mkuu Unalipa Baada ya Huduma
2000 mkuu napata voda GB 5 kwa mwezi mzima hapo vipi mkuu buku na mb zangu 100 unapeleka wapi?Kheri Ya Mwaka 18' !!! Mwanzo Wa Mwezi Ndio huu, Nina Airtime Yakutosha Voda Naunganisha 4GB Wiki Nzima Kwa Bei Chee 3000/= Tu. Sasa Wewe Ukiona buku Tatu ni Kubwa na Unahisi Utaibiwa Basi endelea Kutumia Buku Kwa Internet Kila Siku. Njoo Pm Kama Unahitaji. Sipo Kwenye System na Wala Sina Shida na Namba Yako (Business Only) .Changamka Kama UtahitajiView attachment 667120